Kama nakuona Mhe Waziri wangu Kijana kabisa anavyoumia. Tatizo maelekezo na mikwara ilizidi. Wasimamizi wa Uchaguzi wakaagiza wasaidizi wao kuwa ole wake atakayewapitisha wapinzani wengi, Madisii na wale naniliuu nao fuluuuu sound, hapo ndio shida, Maveo wao wakadelete folder balada ya files kadhaa, ikawa issue. Kiukweli kama MTU una damu tu haijalishi ELIMU yako, lazima ubaini kilichofanyika sioooo! ni hila za hatari sana. Mungu atuepushe na hizi roho ngumu. Nimesikia Siasa haina dini, sawa nimeelewa.