Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa


Jafo anaonesha alivyo na ubongo mdogo mno!

Tanzania ghafla bin vuu leo kuna wagombea bonafsi!

Maajabu!

Nyani akifa miti yote huteleza ndio Jafo na bwana mawe!
 
Kwa hamtaki ushindi wa 100% tena?
Mbona mnawalazimisha wakati wao wamejitoa ili kuwapa nafasi mpate ushindi wa kishindo?
Yaani kweli chama cha watu wasiojulikana mnaumia kuliko Chadema waliojitoa?
Haya kweli ni maajabu....
 
Kapumbavu kumbe nako haka.. nilikua najua kanazo , wake 4 wamekachanganyA
 
Basi limesema haliendi.. unasema unaenda.. labda utumie basi jingine.. akili zako ni za kumenya vitunguu tuu.

Sheria ya uchaguzi ipo.wazi
 
Mtu ana wake wanne na watoto 20 anaachaje kuchanganyikiwa ?
 
Kwa ufupi wewe hujitambuzi unafikiri kama mtoto darasa la pili ndio hasara ya kukabidhi ubongo wako kwa mtu mwingine akushikie.
 
Kuna watu wakifa asubuhi jioni tayari wamesahaulika.
 
Baada ya maneno hayo, siyo tu nimemshangaa jafo lakini nimeona kuna haja ya kumpuuza.

Sijui kama ni ikosefu wa weledi, low IQ and poor reasoning au ni kuchanganyikiwa.
 
Hivi si kila alipopita katika ziara yake alisisiza wapinzani wakatwe tu au? Labda kama hakuwa yeye alisema hayo maneno, vinginevyo ametoa majibu tofauti kwa wasimamizi wa uchaguzi katika halmashauri alizopitia na sasa kwa waandishi wa habari anatoa majibu tofauti. Ni vema mhe. Akawa na hofu ya Mungu
 
HAWA WATU WANATUHARIBIA NCHI SANA AISEE.WATATULETEA MAPIGANO YA WENYEWE MWISHOWE
 
Mambo yakiwa magumu na hayaendani na unachoamini kama kiongozi unaomba kujiuzulu.

Hivi kweli leo Jafo ni wakusema chama kimejitoa na sio mgombea? Aibu gani hii?
 
Huku ni kuchanganyikiwa samahani mheshimiwa jafo kama uko humu.
 
Kinagombea chama bila mgombea??katiba inaruhusu mgombea binafsi???
Kwani kwenye chama kuna mgombea mmoja? Kama kaenguliwa na wengine wamepitishwa kwenye chama husika kwanini aliyepitishwa asigombee?walioamua kususia wenyewe wana nafasi zao top rank.huoni wamewanyima haki hawa waliopitishwa kugombea uenyekiti?mbona zile chaguzi za marudio za ubunge baada ya kuunga juhudi hawakujitoa?,hakukuwa na figisu?,upinzani wapumbafu sana.

Katiba hairuhusu mgombea binafsi,sijasema kama kuna mtu kagombea binafsi,ila anaweza kuenguliea binafsi kwasababu anagombea nafasi moja,(mtaa).chama kinagombea nafasi nyingi(mitaa),kwahiyo akienguliwa mmoja au kadhaa...wengine waendelee..
 
Akili za mwewe eti waandike barua za kujitoa kwani walisema ni wagombea binafsi?sheria hiyo ipo Tanzania ccm si mliikataa?wewe mbona unahangaika sana?wakati kichwani ubongo haupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…