Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Hawa jamaa sijui wakoje! Nia yao ilikuwa ushindi wa 100%, wameachiwa washinde wanaanza gubu! Lengo lao nini hasa...
 
Eti "...baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya makosa yanayofanana". Kwani huyu Jaffo aliziandaaje hizo fomu hata iwe ngumu kujaza kama paper za CSEE, NECTA1999?
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Soma sheria uzielewe bila kuwa na chama/mwanachama huwezi kugombea, na mzamini mkuu wa mgombea ni chama chake
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Akili huna, hujui kua hakuna mgombea anaeruhusiwa bila kua na mdhamini ambae ni chama cha siasa? Chadema na ACT wamesema hawamdhamini mgombea yeyote katika uchaguzi huu, hivo atakaegombea chini ya udhamini wa vyama hivyo ni mgombea haramu na ni zaidi ya mwanaharamu. Serikali inalazkmisha jua itawatambua!!! Kwa sheria ipi? Mliwaengua kwa mbwembwe sasa mnawarudisha kimyakimya!!!! What a shame.
 
ELIMU ELIMU ELIMU

Ukienda Bank, Form ya kuwekea hela na kutoa unaelekezwa namna ya Kujaza

Mitihani Yote Shulee karatasi ya Majibu unaelekezwa namna Ya Kujaza hata kwa mwenye Phd

Cheti Cha Ndoa Wanakuelekeza namna Ya kusign na ukikosea unarekebisha

Na vingine Vingi! Waseme mtu amekatwa amekosa vigezo lakini Sio kisa Fomu Haikujazwa inavyotakiwa huuu ni Uongoooooooooooooooooooo

Fomu za HESLB ukikosea Unaitwa kwenda Kurekebisha,hakuna mtu perfect

JAFO TAFAKARIII
 
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?
Mkuu, hiyo itakuwa ni demokazia na wala siyo demokrasia.
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Sasa mnataka kutulazimisha, mimi nilikuwa mgombea, Chama changu kimetangaza kujitoa kwenye uchaguzi mimi nasimama pale kama nani ?, naheshimu maagizo ya Mwenyekiti wangu wa Taifa, acheni hizo nyie
 
ELIMU ELIMU ELIMU

Ukienda Bank, Form ya kuwekea hela na kutoa unaelekezwa namna ya Kujaza

Mitihani Yote Shulee karatasi ya Majibu unaelekezwa namna Ya Kujaza hata kwa mwenye Phd

Cheti Cha Ndoa Wanakuelekeza namna Ya kusign na ukikosea unarekebisha

Na vingine Vingi! Waseme mtu amekatwa amekosa vigezo lakini Sio kisa Fomu Haikujazwa inavyotakiwa huuu ni Uongoooooooooooooooooooo

Fomu za HESLB ukikosea Unaitwa kwenda Kurekebisha,hakuna mtu perfect

JAFO TAFAKARIII
Umesikia makosa yanayodaiwa kufanywa na wagombea wa Upinzani ? Eti waliambiwa wanatakiwa kujaza (kwa mfano - Neno ACT kwa kirefu, wakati huohuo aliejaza ccm anaonekana hajakosea
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Mgombea anadhaminiwa na chama chake,sasa kama chama kimeamua kutomdhamini mgombea.Huyo mgombea anaenda kukiwakilisha chama gani?
 
Jafo ana upeo mdogo sana wa kufikiri na kuamua. Kwa sasa naamini angekuwa anatumia utashi wake vilivyo angejiuzulu
Sio ana upeo mdogo anafanya makusudi sanaa anajua mipango yao na maovu yao yote waliyopanga kufanya dhuluma waache waendelee kufanya dhuluma ili matumbo yao na familia zao ziendelee kushiba
 
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?
Wanataka kula nyama ya nguruwe kwa kufumba macho . Ahahahaaaa [emoji28][emoji23][emoji1787]. Anazingua
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Wadhamini wao watakuwa kina nani?
 
Akili za mbege!
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Wakati wasimanizi hao wanawakimbia , walikimbia nini chama au watu ?!
 
Iwaite wakiojitoa kwa lipi? Hakuna mgombea hata mmoja aliyepitishwa wa vyama vya upinzani aliyetangaza kujitoa.Kelele zote za kujitoa ni za viongozi wa juu wa vyama ambao sio walioomba kugombea.Aliyeomba kugombea ndie anatakiwa atamke kujitoa na kumwambia msimamizi kuhusu udhamini wake kuondolewa pia.Wachukua fomu wote wako.kimya wanaobwabwaja na kuchonga Sana midomo ni wa makao makuu ya vyama Tena wanabweka mitaani sio.kwenye Ofisi za wasimamizi wa chaguzi
Acha povuu huwez lazimisha,tushaamua hakuna wa kutupangiq kaa imekuuma chomoa uweke gunzi
 
Back
Top Bottom