mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
[emoji38][emoji38][emoji38]..
No chadema NO CCM.
huo ndo u kweli
No chadema NO CCM.
huo ndo u kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Sasa mnalazimisha nini? Jafo si atangaze tu mmeshinda bila kupingwa? Kwanini mnateseka hivyo ccm?Hiyo sio fiesta kuna taratibu zake kujitoa
Kila siku mnafanya makosa Yale Yale,hakuna uchaguzi rahisi Africa
wewe jamaa ni true definition of an idiot.Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Siyo ubabe,iila sehemu au taasisi Ina msemaji wake.Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Asante mkuu,umepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza.Akili lazima ziwarudi Jafo anataka kulazimisha kuweka majina ya wagombea wenye vyama vilivyojitoa,maajabu haya kwani hiyo inasaidia nini?Chama kimeondoa udhamini wake kwa mgombea anawezaje kuendelea kuwa mgombea wa hicho chama? Hivi zenu akili zimeshikiliwa na ccm?
Ni zipi?Kuna taratibu rasmi za kujitoa.
Hujajibu hoja iliyoko mezani umeishia kulalamika tu tukusaidieje?Kiukweli Chadema ni kichaka cha wakora,yaani kakikundi ka kina Mbowe na washirika wao wachache wanawatesa wanachadema nchi nzima ,aibu kubwa sana kwa wanachama wote
Kuna mgombea anaegombea bila kupitishwa na chama? Hivi kwanini CCM tunaumia wakati apo ndo tumepata mteremko?Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Chama kimeshatoa muongozo.labda kama watakua wagombea binafsiHamtaki makao makuu.Wagombea waliopitishwa wanataka
Huu uchaguzi anatafutwa atakayewafaa wananchi wote sio wanachadema tu!!! Kama hawafai nyie wengine wanamtaka
Hili ndo la msingiUchaguzi umeshavurugwa bora ufutwe tu mchakato uanze upya!!
Mmekwama ndugu hayo madaraka mnayopata bila elimu au elimu za kufoji na huyo anayewapa hayo madaraka IQ ni below zero negative, yaani watu wajitoe ndio upitishe rufaa hiyo akili matope? Wananchi wanajua msimamo wa vyama kujitoa, jumuia za kimataifa zinajua msimamo wa vyama kutoshiriki uchaguzi huu haramu, sasa Jafo mnamdanganya nani?MATOKEO YA RUFAA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUTOLEWA NOVEMBA 10.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI SELEMANI JAFO akizungumza Jijini Dodoma amesema katika zoezi la kuchukua fomu kuna makosa mbalimbali yalifanyika katika kujaza fomu nyingi ikiwa ni pamoja na kaukosea majina ya eneo pamoja na udhamini. .
.
Akizungumza jijini Dodoma JAFO amesema kuwa kutokana na ziara aliyoifanya katika sehemu mbalimbali amegundua uwepo wa makosa hayo ambapo amesema baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya makosa yanayofanana. .
.
Amesema katika zoezi la kuchukua fomu asilimia zaidi ya 98 wagombea wamerudisha fomu na rufaa zaidi ya 13,000 zimewasilishwa ambapo kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.
Siasa mbaya sana, kuna wakati inabidi usiwe wewe ili tu kukamilisha lengo.Watoto wa mtaani wanaita kata,funua halafu unafunika tena
Huyo ni premature green imbecile.Chama kimeondoa udhamini wake kwa mgombea anawezaje kuendelea kuwa mgombea wa hicho chama? Hivi zenu akili zimeshikiliwa na ccm?
Bado Tanzania hakuna wagombea huru, wote wanatokana na udhamini wa vyama. Hivyo kauli ya chama ikisema hiki ni haramu basi ni tamko la pamojaBasi CDM waandike barua za kujitoa unless otherwise itakuwa Ni udaku Kama ubuyu mwingine wowote, huwezi amini kujitoa kwa mgombea wa CDM huku masebe lugoje kwa kauli ya Bwana furani dar es salaaaama runingani