Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Wadau
Naamini Mnaona Vizuri.
Tunatekeleza
FB_IMG_15732914413663818.jpeg
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Ni utaratibu wa kichama tuu ni kama nyie CCM mnavowalazimisha wagombea mnaowataka wapitishwe kugombania. Mwanachama ambae hatakua radhi kufuata maelekezo ya chama hatufai.
 
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?

Si wanapenda figisu kama Marekani na wakubwa wengine, sasa figisu si zimepelekea mpaka wanashinda kabla ya uchaguzi? Sasa si ndo ungekuwa wakati wa kujipongeza? Nawashangaa
 
Mzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.
Naona kama hiyo mbinu imefeli
 
Ilani ya CCM inasema mwanafunzi wa kike akipata mimba akijifungua arudi shule

Jiwe anasema yeye hawezi kusomesha wazazi

Wewe unasimama upande wa chama au wa jiwe?

Huyu kwake sheria sio chochote bali mahaba ya jiwe kwake ndio sheria.
 
Mwanachama ambae hatakua radhi kufuata maelekezo ya chama hatufai.
Huu uchaguzi anatafutwa atakayewafaa wananchi wote sio wanachadema tu!!! Kama hawafai nyie wengine wanamtaka
 
Mzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.
Wewe kichwani uko fit.
 
Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee uongozi wa Serkali za mitaa

Mbowe ametumia ubabe
 
...................................... kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.
KITAKACHOTOKEA HAPO UTASIKIA RUFAA KARIBIA ZOTE ZIMEKUBALIWA. where are we going?
 
Uchaguzi umeshavurugwa bora ufutwe tu mchakato uanze upya!!
Hata ukifutwa mchakato, uanze upya haitasaidia kitu, kwani wao walishazoea hivyo, unadhania ni kwanini hawataki, wakurugenzi wasiwe wasimamizi wa chaguzi?? Bila tume huru ya uchaguzi itakuwa, maajabu utegemee matokeo tofauti wakati njia unayotumia ni ile ile!!!
 
Mzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.
Ha ha ha😀😀😀😀😀
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Kwani wagombea binafsi wameruhusiwa? Mbona mbunge akivuliwa uanachama automatic na ubunge anaachia. Rejea wabunge wa lipumba
 
Yalipotokea Zanzibar 2015 tulisema Zanzibar ni mbali sana hayatuhusu huku Bara. Sasa yanatokea bara. Sijui tutasemaje
 
Bashiru Ally alivyotangaza matokeo ya kura za maoni CCM kwa dar yamefutwa.

Jafo aliingilia kusema wamechaguliwa kihalali?

HESHIMUNI KAMATI KUU YA CHAMA
Huo ulikuwa uchaguzi wa. Ndani ya Chama Cha mapinduzi usichanganye masomo
 
Kwani wagombea binafsi wameruhusiwa? Mbona mbunge akivuliwa uanachama automatic na ubunge anaachia. Rejea wabunge wa lipumba
Zitto Kabwe alishindikana Chadema au hujui Hilo.

Hao wagombea waliopitishwa serikali za mitaa kugombea hawajavuliwa uanachama hivyo hiyo argument yako ha I apply
 
MATOKEO YA RUFAA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUTOLEWA NOVEMBA 10.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI SELEMANI JAFO akizungumza Jijini Dodoma amesema katika zoezi la kuchukua fomu kuna makosa mbalimbali yalifanyika katika kujaza fomu nyingi ikiwa ni pamoja na kaukosea majina ya eneo pamoja na udhamini. .
.
Akizungumza jijini Dodoma JAFO amesema kuwa kutokana na ziara aliyoifanya katika sehemu mbalimbali amegundua uwepo wa makosa hayo ambapo amesema baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya makosa yanayofanana. .
.
Amesema katika zoezi la kuchukua fomu asilimia zaidi ya 98 wagombea wamerudisha fomu na rufaa zaidi ya 13,000 zimewasilishwa ambapo kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.
Kwanini anahanya?
 
Back
Top Bottom