Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Mzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.
Watoto wa mtaani wanaita kata,funua halafu unafunika tena
 
MATOKEO YA RUFAA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUTOLEWA NOVEMBA 10.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI SELEMANI JAFO akizungumza Jijini Dodoma amesema katika zoezi la kuchukua fomu kuna makosa mbalimbali yalifanyika katika kujaza fomu nyingi ikiwa ni pamoja na kaukosea majina ya eneo pamoja na udhamini. .
.
Akizungumza jijini Dodoma JAFO amesema kuwa kutokana na ziara aliyoifanya katika sehemu mbalimbali amegundua uwepo wa makosa hayo ambapo amesema baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya atmakosa yanayofanana. .
.
Amesema katika zoezi la kuchukua fomu asilimia zaidi ya 98 wagombea wamerudisha fomu na rufaa zaidi ya 13,000 zimewasilishwa ambapo kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.
jafoo watu wamejitoa,unawalazimisha heshimu uhuru wa watu,utawekaje majina yao ilihali mliwakata na wamesema hawashiriki uchaguzi
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?

Huyo mgombea amejipeleka au amepelekwa na chama chake?. Kama alijipeleka kuchukua fomu basi sawa
 
Hamtaki competition,mkiachiwa uwanja mnalazamisha watu warudi uwanjani.
 
Baada ya kubandika majina kwa hata ya wale waliyojitoa...

Huku na huko, yule aliyejitoa ni mpinzani alafu akaibuka na kura nyingi, kwa maana kapita...

je watamtangaza kua mshindi?


Cc: mahondaw
Wataanza lugha mpya kama kwenye korosho na makinikia
 
Mzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.

Pumba tu umeandika.
 
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?

Anaangalia ramani ya dunia itakuwa inasomwa vipi! Ni ramani feki au asilia?
 
Huyo mgombea anagombea kwa tiketi ya chama kipi? Kama hajaridhika na maamuzi ya chama ahame akagombee kwa tiketi ya chama kingine.
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
 
MATOKEO YA RUFAA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUTOLEWA NOVEMBA 10.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI SELEMANI JAFO akizungumza Jijini Dodoma amesema katika zoezi la kuchukua fomu kuna makosa mbalimbali yalifanyika katika kujaza fomu nyingi ikiwa ni pamoja na kaukosea majina ya eneo pamoja na udhamini. .
.
Akizungumza jijini Dodoma JAFO amesema kuwa kutokana na ziara aliyoifanya katika sehemu mbalimbali amegundua uwepo wa makosa hayo ambapo amesema baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya makosa yanayofanana. .
.
Amesema katika zoezi la kuchukua fomu asilimia zaidi ya 98 wagombea wamerudisha fomu na rufaa zaidi ya 13,000 zimewasilishwa ambapo kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.

Sasa kama asilimia 96 % ya wagombea wa upinzani wakijaza fomu vibaya watafanya uchaguzi Kwa nguvu kwenye hizo asilimia 4 % au watasema Ghafla kuwa hawakukosea kujaza wafanye uchaguzi asilimia 100% ambao bado watu kujitokeza kupiga kura ni mitihani

Tunaonekana VITUKO na dunia !!!
 
Hatushangai huko kwenu hata marehemu hupiga kura.
Kudhamini ni issue binafsi Kama Chama kinajitoa udhamini kilitakiwa kiwaambie wagombea wake na wao ndio waseme tunajitoa sababu mdhamini wetu kajitoa tunaomba msimamizi Kama una fomu ya mdhamini kujitoa nipe nimpelekee akajaze alete kwa maandishi.

Fomu za kudhamini wagombea vyama vilijaza kujitoa pia vijaze fomu vipeleke kutengua fomu zao za mwanzo.othetwise huko.kujitoa kwenye press ni matangazo tu ya vijiweni ambayo sio official.Jafo Yuko sahihi wote waliopitishwa watapigiwa kura
 
Back
Top Bottom