YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Watoto wa mtaani wanaita kata,funua halafu unafunika tenaMzaramo J
Alichofanya ni kanuni moja ya kiintelejensia ambayo unamchanganya mtu katika kanuni, halafu akichanganyikiwa unamrudisha kwa kanuni hiyo hiyo lakini akiwa ameshapoteza ''morali''.
Amejivua lawama.