Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Kama una watoto nauona ugumu wanaopata waalimu shulen huko ka kwel we ndo baba yao,wapite ccm wapite chadema hakun atakaekuja kukuletea chakula nyumban huko,umekaa hapa kuwasifia wanaume wenzio kwa huu upuuzi wanaofanyaHii mbona.. mbona... ndio inawakost..sasa mimi na wewe hapo nani kafikiria umbali wa pua yake,mngekuwa mnajitambua kwa hivi vitu vidogo hata chama tawala kingekuwa kinashindwa namna ya kuburuza upinzani,haya mambo mbona wao wamefanya hivi...vile.... yanaonyesha hamjielewi,na ndio mnakandamizwa hapo,sasa subiri lungu la msajili,atawatafutia sababu halafu anawachinjia baharini mazima.ngoja tuone.