Kwani kwenye chama kuna mgombea mmoja? Kama kaenguliwa na wengine wamepitishwa kwenye chama husika kwanini aliyepitishwa asigombee?walioamua kususia wenyewe wana nafasi zao top rank.huoni wamewanyima haki hawa waliopitishwa kugombea uenyekiti?mbona zile chaguzi za marudio za ubunge baada ya kuunga juhudi hawakujitoa?,hakukuwa na figisu?,upinzani wapumbafu sana.
Katiba hairuhusu mgombea binafsi,sijasema kama kuna mtu kagombea binafsi,ila anaweza kuenguliea binafsi kwasababu anagombea nafasi moja,(mtaa).chama kinagombea nafasi nyingi(mitaa),kwahiyo akienguliwa mmoja au kadhaa...wengine waendelee..