Waziri Jafo atamani Halmashauri zijitegemee baada kutembelea mradi wa Government City Complex wa jijini Dodoma

Waziri Jafo atamani Halmashauri zijitegemee baada kutembelea mradi wa Government City Complex wa jijini Dodoma

unajua siku hizi hata frames watu wanazikimbia?mtu alikuwa anauza nguo leo anauzia kwenye gari au nyumbani au wanachukua kaduka uchwara wanachanga,mmoja naweka vi glasses nje mwingine ndania na bidhaa nyingine, time will tell akili yao yote iko kwenye kufanya biashara siyo kufacilitate watu wafanye bishara
ule mpnago wa kujenga petrol stations uliihsia wapi?mana naskia zipo tattu tayari za serikali,ushaona akili ya hawa jamaa?juzi waziri wa burudani anakuambia anataka Netflix ya taifa usije shangaa wakataka iwe ya serikali
Agh mambo ni mengi sana yanashangaza,jengeni tu anyway ..sawa pigeni business
huyu jamamaa. i...kama sijakosea serikali ilishajitoa kwenye hayo mabiashara iasema yenyewe iwe inakusanya kodi...kama ilikuwa inataka mji upendeze ingewawezesha watu wakope wafanye hilo jambo washughulike kulipa deni dhamana ikiwa hilo jengo...wangeanzisha fursa ambazo watu angevutiwa kuwekeza hivyo vitu..sasa wanawekeza wenyewe nayaona kakazi ya mijusi na popo mda sio mrefu gharama za kuyatunza na hasara lukuki sidhani kuna raisi ajae ambaye atapendelea kuka dodoma fursa za kiuchumi zikipungua dodoma watu wataanza kukimbia wenyewe uchumi wa dodoma ni hovyo kabisa unategemea people spending hakuna viwanda na hakuna atakayependelea kuweka kiwanda hapo maji chumvi asafirishe material kutoka bandarini alafu arudishe bidhaa kwenye soko mama dsm..by the way tano tena
 
Jafo aache vituko.

Juzi tu wamebadili sheria mpaka service levy inakusanywa na serikali kuu, hizo halmashauri zitajiendesha vipi labda kwa mfano??
 
Duniani hakuna serekali imefanya biashara ndogo ikafanikiwa, ndio maana sector binafsi ndio inayoweza, kuleta,ubunifu na maendeleo, ingekua vyema sana kushindanisha mikoa kwa uvutiaji wa wawekezaji, na kuwawezesha wafanyabiashara wa ndani kufanya biashara kubwa.
 
Duniani hakuna serekali imefanya biashara ndogo ikafanikiwa, ndio maana sector binafsi ndio inayoweza, kuleta,ubunifu na maendeleo, ingekua vyema sana kushindanisha mikoa kwa uvutiaji wa wawekezaji, na kuwawezesha wafanyabiashara wa ndani kufanya biashara kubwa.
Kwa nchi ya Tanzania kila mkoa na wilaya yametengwa maeneo maalum kwa wawekezaji. Hii ni fursa mojawapo wazawa hawachangamkii.
 
Jafo aache vituko.

Juzi tu wamebadili sheria mpaka service levy inakusanywa na serikali kuu, hizo halmashauri zitajiendesha vipi labda kwa mfano??
Njia rahisi ni kuwashauri wajumbe wa baraza la madiwani lenu, wakajifunze ni nini siri ya mafanikio ya halmashauri ya jiji la Dodoma
 
huyu jamamaa. i...kama sijakosea serikali ilishajitoa kwenye hayo mabiashara iasema yenyewe iwe inakusanya kodi...kama ilikuwa inataka mji upendeze ingewawezesha watu wakope wafanye hilo jambo washughulike kulipa deni dhamana ikiwa hilo jengo...wangeanzisha fursa ambazo watu angevutiwa kuwekeza hivyo vitu..sasa wanawekeza wenyewe nayaona kakazi ya mijusi na popo mda sio mrefu gharama za kuyatunza na hasara lukuki sidhani kuna raisi ajae ambaye atapendelea kuka dodoma fursa za kiuchumi zikipungua dodoma watu wataanza kukimbia wenyewe uchumi wa dodoma ni hovyo kabisa unategemea people spending hakuna viwanda na hakuna atakayependelea kuweka kiwanda hapo maji chumvi asafirishe material kutoka bandarini alafu arudishe bidhaa kwenye soko mama dsm..by the way tano tena
Umejitahidi kuandika mengi lakini bahati nzuri haufahamu mipango na mikakati ya jiji la dodoma hasa suala miundo mbinu.
 
Hela walizikwapua na kuzipeleka hazina sasa anatamani halimashauri zijiendesheje kama waliziondolea mapato yote kama ushuru wa mabango n.k ninaona wanaanza kutamani selikari za majimbo sema tu roho ngumu. Sasa ukisema halimashauri zilipe mishahara ya watumishi inamaana halimashaur itakua na nguvu na hili ndo linapaswa si mengineyo.
 
Mojawapo wa mradi wa kimkakati katika jiji la Dodoma ni uwanja huu

1609326098407.png

Uwanja mpya wa michezo nchini unaotarajiwa kujengwa mjini Dodoma utakuwa na mwonekano wa Mlima Kilimanjaro. Uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
 
Kwa nchi ya Tanzania kila mkoa na wilaya yametengwa maeneo maalum kwa wawekezaji. Hii ni fursa mojawapo wazawa hawachangamkii.
Hakuna Taarifa, ila kama hayo maeneo yangefanyiwa matangazo watu wangeweza kuwekeza, Kusambaza taarifa ni muhimu sana na kazi hii haiwezi fanywa na serekali ndio maana sekta binasfi lazima iachiwe kufanya hizo kazi,
 
Majengo yanayopendekezwa kujengwa eneo la Iyumbu
1609334154312.png

Mji Mpya wa Iyumbu una ukubwa wa eneo la hekta 252 na kutenga viwanja 242, kati ya hivyo vya biashara ni 10, Viwanda vidogo 2, biashara na makazi 173 na makazi maalum 57 na kuna uwanja wa michezo "Iyumbu Town Center".


 
unajua siku hizi hata frames watu wanazikimbia?mtu alikuwa anauza nguo leo anauzia kwenye gari au nyumbani au wanachukua kaduka uchwara wanachanga,mmoja naweka vi glasses nje mwingine ndania na bidhaa nyingine, time will tell akili yao yote iko kwenye kufanya biashara siyo kufacilitate watu wafanye bishara
ule mpnago wa kujenga petrol stations uliihsia wapi?mana naskia zipo tattu tayari za serikali,ushaona akili ya hawa jamaa?juzi waziri wa burudani anakuambia anataka Netflix ya taifa usije shangaa wakataka iwe ya serikali
Agh mambo ni mengi sana yanashangaza,jengeni tu anyway ..sawa pigeni business
serikali inajifaciitate yenyew kufny biashara anyway sio mbaya sana iwapo km linapokuja swala la ushndan kunakuwa na usawa, hapa ndio shida inapokuja serikali inaweza kukubali hizo ivestment zake zi fail kwasababu za kiushindan? maana isipokubali kufanya hvyo hilo litakua janga kwa sekta binafsi-ndio maana heri tu ijenge mazingira bora kwa sekta binafsi zishndane zenyew huko sokon yenyew isimamie na kukusanya kodi, serikali iwekeze kwe miradi mikubwa mikubwa au sekta nyeti nyeti huku kwngne iache wananchi wapambane sokoni ubunifu utaongezeka sana,
 
Kwa nchi ya Tanzania kila mkoa na wilaya yametengwa maeneo maalum kwa wawekezaji. Hii ni fursa mojawapo wazawa hawachangamkii.
kwa mfano wapi dar,arusha na shinyanga hata chato maeneo yliyotengwa..wapi?
 
Mojawapo wa mradi wa kimkakati katika jiji la Dodoma ni uwanja huu

View attachment 1662883
Uwanja mpya wa michezo nchini unaotarajiwa kujengwa mjini Dodoma utakuwa na mwonekano wa Mlima Kilimanjaro. Uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Je watazamaji watakuwepo?
 
Ile miradi ya Dar es Salaam Development Cooperation (DDC) iliishia wapi? Walikua na majengo, band ya mziki, kikundi cha ngoma.

Hakuna serikali nyingine iliyowahi kutawala zaidi ya CCM.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Naona hapo chini umeweka msisitizo kuhusu utawala[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Back
Top Bottom