kwa mfano wapi dar,arusha na shinyanga hata chato maeneo yliyotengwa..wapi?
Kwa jiji la Dar, fursa kubwa ni uwekezaji shughuli za utalii maeneo mbalimbali na Urejelezaji wa Taka Ngumu.
Kwa mfano Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam iliwatangazia wananchi wotewa kawaida kutumia kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kwa huduma za usafiri, usafirishaji,shughuli za biashara, uwekezaji na uchumi katika Kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis kuanzia badala ya kutumia kituo cha mabasi cha Ubungo kinachotumika hivi sasa.
Faida ya uwekezaji huo kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis ni kwa mwananchi waliomba kufanya shughuli mbalimbali zinazojumuisha :-
Maeneo ya Ofisi za kukatia Tiketi.
Maeneo ya kutolea huduma za benki, kampuni za simu, uwakala na wakala wa Fedha.
Maduka ya jumla, Supermarket na Mini Supermarket.
Zahanati, Maabara na Famasi.
Cafe & Fast Food, Migahawa, Vinywaji na baa.
Maeneo ya Wafanyabiashara wadogo na wa Kati.
Sehemu ya kuhifadhia mizigo.
Sehemu ya kuweka Ofisi.
Sehemu ya mazoezi (Gym)
Vending Mashine / ATM.
Maeneo ya Maduka ya bidhaa kama vile Vipuri, vifaa vya kieletroniki, vifaa vya Michezo, vitambaa, Nguo, Magodoro, Vito, Vipodozi, Mapambo, Saloon, Urembo, viatu, nguo za watoto/wanawake na wanaume, pembejeo za Kilimo na Mifugo, Samani (Furniture), Stationary, kioski, Carpets/pillow/curtains