johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Wapi alipokiri?Anakiri kuwa hao vijakazi wao walikuwa wanafunga ofisi ili kuwanyima wagombea wetu fursa ya kuchukua fomu.
Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Sasa WATENDAJI wa kata wamsikilize nani, wewe Waziri wa TAMISEMI au yule WAZIRI WA TAMISEMI aliyewaita MAGOGONI??Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Aache ufala tunajua hawezi kwenda tofauti na bosi wakeWaziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Mimi nilijua mtu akiwa na wake wanne ndio huwa na akili , kumbe nilikosea sana ! sasa Mtukufu Jaffo hilo tamko kwanini limekuja leo ?Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Nakusamehe bure siyo kosa lakoWapi alipokiri?
Amesema leo ndio ofisi zisifungwe katika ule muda wake wa kawaida!
Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Ni kweli kabisa uoga ndio unao tugharimuChadema mnahofu hadi kwenye kijambio ,kila siku woga tu mnaishi kwa hofu kama wapika gongo
State agent
Kwa hiyo hata mpinzani akishinda afu akatangazwa wa CCM hizo nazo zitakuwa ni figisu za kawaida? Hivi ninyi mapopoma mkoje?Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.