warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
Aisee vita sio nzuri ila sasa kwa haya yanayotokea chini ya ya huyu mshenzi mwenye bichwa ka korosho natamani wapatikane wadhamini nishike bunduki kama nikifa poa ila wapo watakaofaidi kupitia damu yangu, nina hasira isiyovumilika, huku kwetu karibu viongozi wote waandamizi jana wamekamatwa hadi mda huu wapo mahabusu kisa wanadai form ya mgombea. Shenzi sana hawa inzi wa kijani wakiongozwa na mwenyekiti wao shithole.Vikundi vya waasi kule Congo na nchi nyingine kumbe wanaweza kuwa na hoja ya msingi ya kwanini wanapambana
Kama FIGUSU ni za kawaida kwa nini mliwalazimisha watu kujiandikisha mpaka ukaongeza muda!!???Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili.
Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa
Tarehe 17/11/2019 kampeni zitaanza rasmi.
Mh Jafo amesema yeye ni Waziri kijana sana ndio maana uchaguzi huu umekuwa wa mafanikio makubwa ukilinganisha na chaguzi za siku za nyuma.
Jafo ameahidi kuchunguza malalamiko yote yaliyoripotiwa na hata sasa maafisa wake wametapakaa kila wilaya kukusanya data na malalamiko hayo.
Watendaji wengi wa kata wamewafanyia hujuma sana wapinzani hasa CHADEMA katika zoezi zima la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania Serikali za mtaa.
Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Waziri Jafo amesema hayo akihojiwa mubashara na Janeth Mwakalinga wa Star tv.
Hata mimi nitashika tu tena na haya mafunzo niliyopata yananitosha saanaAisee vita sio nzuri ila sasa kwa haya yanayotokea chini ya ya huyu mshenzi mwenye bichwa ka korosho natamani wapatikane wadhamini nishike bunduki kama nikifa poa ila wapo watakaofaidi kupitia damu yangu, nina hasira isiyovumilika, huku kwetu karibu viongozi wote waandamizi jana wamekamatwa hadi mda huu wapo mahabusu kisa wanadai form ya mgombea. Shenzi sana hawa inzi wa kijani wakiongozwa na mwenyekiti wao shithole.
Unaweza kudhihilisha ukweli mkuu?Uongo uliotukuka. Ameongea kinyumeeeeee
Mwenyewe mbowe simuelewi aiseNi vema sasa Mbowe asitishwe tusishiriki kwenye huu uchafuzi tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, maneno na kulalamika hakutatusaidia inatakiwa vitendo maana ccm wanafanya hivi kwakujua watanzania ni waoga ni watu wa kulalamika tu matendo hakuna.
Maamuzi magumu kama yapi?Hivi hawa viongozi wa Upinzani kwanini hawachukui maamuzi magumu juu ya mwendo mzima wa uchaguzi?
Nachukia sana napoona kiongozi anayetolea mfano wauovu wa nchi nyingine. kwa hiyo kama watu wanauana kama Marekani nasi tuone ni la kawaida tuige kuuana?Jaffo amewataka wapinzani wajue kwamba hizo figisu ni za kawaida sana kwenye siasa kwani hata nchi kubwa mfano Marekani, Uingereza na Israel wanapitia figisu hizo.
Tulipofikia panasikitisha