Waziri Jafo umekosea kulazimisha watu wenye taaluma kufanya kazi za propaganda

Waziri Jafo umekosea kulazimisha watu wenye taaluma kufanya kazi za propaganda

seedfarm,

Huyo Jafo si Ndo Aliwapa walimu wanakili majini ya watu kwa ajili ya kuingiza kwenye daftari ya uchanguzi serikali za mitaa bila ya watu kwenda kujiandikisha?
 
Ndio maana mwana taaluma ukiomba kazi kwenye usaili watataka kuona how flexible you are!
Hao kina Pompeo ni mabobezi kwenye taaluma zao,lakin inabidi waende sambamba na Trump. Kama unaona huwezi fuata maelekezo ya mkubwa wa kazi, acha tu kazi.

Tarura kazi kubwa ni kusimamia barabara za wilaya ambazo zinawagusa wananchi wapiga kura. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi,hakuna serikali ilio tayari kuwakosa wapiga kura,kwenye eneo gumu kama Arusha, kisa tu wewe ni mwana taaluma
Wew hujielewi ww kwani uko arusha hakuna DED Wala DC ww inakuingia akilini mtu ni meneja unawahamasisha wananchi kutoka wapi? Na kwa nguvu ipi kama meneja wa tarura ilionao. Barabara kwani wananchi wasingeiona au? Mbona huu ujinga awamu zilizopita haukuwepo.
 
Kwake Jafo maisha ya wengine si kitu, hayana thamani wala maana kwake as long as watoto wake wanakwenda chooni! na maisha ya wake zake wanne (4) na kumfurahisha aliyemteua.

Ni ubatili mkubwa kwa haya anayoyafanya yanayovunja haki za mfanyakazi mtumishi wa Umma!
 
Umeuona mkataba wake wa kazi?
Umeomba kazi serikalini,na serikali yenyewe ni hii ya ccm unategemea nini?kama hawezi kuendana na kasi yetu ajiuzulu wapo vijana wengi sana wana elimu nzuri tu wanaweza kuchukua nafasi
Haha kasi ya kuita washangiliaji daaa!! Jafo namkubali ila kwa hapa kakosea sana tena sanaa.....ukitaka kujua Yale sio majukumu yake ndio maana akawa anajitetea kuwa ilo ni swala la DED jamaa hamsikilizi
 
Kwake Jafo maisha ya wengine si kitu, hayana thamani wala maana kwake as long as watoto wake wanakwenda chooni! na maisha ya wake zake wanne (4) na kumfurahisha aliyemteua.
Ni ubatili mkubwa kwa haya anayoyafanya yanayovunja haki za mfanyakazi mtumishi wa Umma!
Kafanyaje?
 
Huyu dogo nimemdharau Sana Kuna TISS mmoja aliniambiaga ni mmojawapo wa watu wanaofatiliwa au anaandaliwa kuteuliwa uraisi. Baadae yeye na lukuvi wako kwenye kapu moja wanapikwa lkn kwa tukio la Jana nimemdharau kabisa
 
Kwake Jafo maisha ya wengine si kitu, hayana thamani wala maana kwake as long as watoto wake wanakwenda chooni! na maisha ya wake zake wanne (4) na kumfurahisha aliyemteua.

Ni ubatili mkubwa kwa haya anayoyafanya yanayovunja haki za mfanyakazi mtumishi wa Umma!
Fafanua kajikombaje!?
 
Duu! CCM shida sana! Yaani pamoja na kufanya kampeni miaka yote 5 bado hawajiamini! Sasa pale jimbo la Jafo safari hii tunamuweka Ray Kigosi, kwa hoja mfu kama hizo Ray atashinda asubuhi tu!
 
Jafo ametoa sababu ya kijinga Sana, kwanza wananchi huwezi kuwalazimisha wajikusanye waje kusikia propaganda za jafo , viongozi shida wanaigiza Sana awamu hii
 
Back
Top Bottom