Watu hujionyesha peupe wako vipi kwa matendo yao.
Aidha kumfurahisha bila aibu yule aliye mteua, hawa ndio boot lickers, au kufanya kazi kwa maadili yenye kuonyesha dhamana ya uongozi.
Jafo kapewa wizara ambayo vyatu ni vikubwa kwake.
Hatujasahau singeli aliyotoa na ku-rap mpaka mkandarasi SKOL akazimia kule Dodoma.
Leo kazi imefanyika kule Arusha sasa anataka kazi ikimalizika watu wa kusifu na kuabudu waitwe kumsifu hadharani.
Jafo hafai. Jafo kijana mdogo mwenye wake wanne nasikia, yeye weledi wa kazi hakuna, anaona sifa ni kumpa aliye mteua.
Wananchi wa Kisarawe tupeni mtu mwingine, huyu Jafo heri achukue nafasi ya Polepole kwenye chama.
Msimchague Jafo, mtu ambaye anaona heri punda afe, mzigo wa sifa za bwana zifike.