Kwenye jimbo lake la kusarawe vimejengwa vingapi?Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DGlUKyzNpXW/?igsh=MXVpeW5odDltM3N5eg==
Kuna wakati tunachoka kabisa kutoa comments kwa habari za ajabu ajabu kama hizi lakini basi tu. Rais ni Rais tu. Hadhi yake iko pale pale bila mauza uza haya. Labda kama mmepania kuishusha.Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DGlUKyzNpXW/?igsh=MXVpeW5odDltM3N5eg==
Ujinga mwingi sana. Elfu thelathini? Serious. Hata aliyesema ukimwambia akutajie hivyo viwanda hajui hata viko wapi na ni viwanda vya Nini. Ulaya kwenyewe hakuna nchi iliyojenga viwanda Elfu thelathini kwa miaka 4. There is no such a stupid record in Europe. Kwakuwa wameona mama ni kilaza basi jamaa wanatembea naye mulemule.Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DGlUKyzNpXW/?igsh=MXVpeW5odDltM3N5eg==
Kwani wewe neno kiwanda unaelewaje? ππUjinga mwingi sana. Elfu thelathini? Serious. Hata aliyesema ukimwambia akutajie hivyo viwanda hajui hata viko wapi na ni viwanda vya Nini. Ulaya kwenyewe hakuna nchi iliyojenga viwanda Elfu thelathini kwa miaka 4. There is no such a stupid record in Europe. Kwakuwa wameona mama ni kilaza basi jamaa wanatembea naye mulemule.
Viwanda gani????Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DGlUKyzNpXW/?igsh=MXVpeW5odDltM3N5eg==
Wewe kiwanda unaelewaje? ππKuna wakati tunachoka kabisa kutoa comments kwa habari za ajabu ajabu kama hizi lakini basi tu. Rais ni Rais tu. Hadhi yake iko pale pale bila mauza uza haya. Labda kama mmepania kuishusha.
Idadi ya viwanda Afrika ya Kusini ambayo ni "the most industrialized country in Africa", haijafikia 15,000. Sisi miaka minne tumejenga viwanda 30,000? Tanzania hii hii? Jumla na vya zamani ni vingapi?
P'se respect our intelligence. We may be timid, certainly, but not fkng idiots.
Hivi hapa π πViwanda gani????
Sisi hatutaki propaganda hizo unatuma ni propaganda ukienda kwenye field hukutani na hayo mambo.Wewe kiwanda unaelewaje? ππ
View: https://www.instagram.com/p/C_0XpmeIRUx/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Mnatengeneza trekta??? Basi mmeendelea sana hongereni sana timu Samiah.
Propaganda eti? Weka kiwanda chako Sasa ππSisi hatutaki propaganda hizo unatuma ni propaganda ukienda kwenye field hukutani na hayo mambo.
Unadhani tunaongea vitu vya hewani?Mnatengeneza trekta??? Basi mmeendelea sana hongereni sana timu Samiah.
Morogoro ππhutumii akili wew kila taarifa unaripot kama mwehu unadhan unaweza kunganya watu smart
viwanda elfu 30 ni sawa na wastan wa viwanda 1000 kila mkoa
ivo viwanda waweke majina na location vilipo vinginevyo acha utaahira wa kupost kichwakichwa
Ndiyo.Unadhani tunaongea vitu vya hewani?
Nipo naisubiri hiyo PDF hapa bado.
Ndugu Choice uongo hatutaki,tupia hapa orodha ya hivyo viwanda 30,000 hatutaki kuandikia mate,enzi ya digitali hii.Unaweza kuturudisha enzi ya vyetehani vinne kuwa ni kiwanda.
Asante kwa ushauri ulionyooka,Mungu akubariki.Kuna wakati tunachoka kabisa kutoa comments kwa habari za ajabu ajabu kama hizi lakini basi tu. Rais ni Rais tu. Hadhi yake iko pale pale bila mauza uza haya. Labda kama mmepania kuishusha.
Idadi ya viwanda Afrika ya Kusini ambayo ni "the most industrialized country in Africa", haijafikia 15,000. Sisi miaka minne tumejenga viwanda 30,000? Tanzania hii hii? Jumla na vya zamani ni vingapi?
P'se respect our intelligence. We may be timid, certainly, but not fkng idiots.
We are not idiots, and this guys lazima waeleweKuna wakati tunachoka kabisa kutoa comments kwa habari za ajabu ajabu kama hizi lakini basi tu. Rais ni Rais tu. Hadhi yake iko pale pale bila mauza uza haya. Labda kama mmepania kuishusha.
Idadi ya viwanda Afrika ya Kusini ambayo ni "the most industrialized country in Africa", haijafikia 15,000. Sisi miaka minne tumejenga viwanda 30,000? Tanzania hii hii? Jumla na vya zamani ni vingapi?
P'se respect our intelligence. We may be timid, certainly, but not fkng idiots.
We are not idiots, and this guys lazima waelewe
Kwa Samia Kila goti litapigwa.Kazi imeanza Dom ππAsante kwa ushauri ulionyooka,Mungu akubariki.