Waziri Januari Makamba agawa mitungi 300 ya gesi kwa kina mama wa CCM Mkoa wa Mara

Waziri Januari Makamba agawa mitungi 300 ya gesi kwa kina mama wa CCM Mkoa wa Mara

Una familia kubwa kiasi gani!?..gesi ya 55k kujaza naktumia miezi mi2.5,familia watu 6
Miezi 2.5?? Dar kila nyumba wangekua wanatumia gesi.
Acha utani wewe. Huenda hujawahi kutumia gesi. Miezi miwili na nusu labda kwa bachelor na hapo asiwe anapika maharage
 
hivi kwa akili yako makamba amekurupuka tu aanze kugawa mitungi ya gesi out of love, bure bure tu? wenye akili wameshajua amegeuka kuwa marketing executive wa kampuni fulani ya gesi
Ungempa wewe Sasa mitungi ya kampuni ya mumeo akaigawe, maana sijajua tatizo nn hapo waziri kugawa bure product ya muwekezaji kwa wananchi
 
Miezi 2.5?? Dar kila nyumba wangekua wanatumia gesi.
Acha utani wewe. Huenda hujawahi kutumia gesi. Miezi miwili na nusu labda kwa bachelor na hapo asiwe anapika maharage
Naktumia gesi tangu 2012,mtungi mdogo ukigharimu 110
 
Ungempa wewe Sasa mitungi ya kampuni ya mumeo akaigawe, maana sijajua tatizo nn hapo waziri kugawa bure product ya muwekezaji kwa wananchi
akili zako ni shida sana. if you can not comprehend an argument, it is wise to just leave it kuliko kutukana.

Jifunze kushughulisha ubongo wako...
.....acha kudhalilisha wazazi wako maana tutahisi walikuleta vibaya, kumbe ni uzwazwa wako tu.
 
Arudi mwezi ujao ,some Kama wanauwezo wa kuijaza tena,bara angewapa hata kuku wa kufuga hata wawili wawili.
 
Katika mawaziri waliokosa creativity ni huyu jamaa ,hasara Sana kwa Samia
 
akili zako ni shida sana. if you can not comprehend an argument, it is wise to just leave it kuliko kutukana.

Jifunze kushughulisha ubongo wako...
.....acha kudhalilisha wazazi wako maana tutahisi walikuleta vibaya, kumbe ni uzwazwa wako tu.
Sasa hapo tusi lipo wapi bibie?!
 
Soon wataanza kutimuana..... maana hio ishara kwasisiemu inamaana yake
 
Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!
Ili wanasiasa makanjanja kama marope wachujwe KWA uadilifu wao!
Wasiingie ikulu KWA hongo kama hizi!!
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.


CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Mitungi bila majiko!? Kampeni imeanza? Mbn idadi ya walofaidi ni ndg!? Atagawa ngapi? WaTz tujipongezeni, viongozi wa aina hii, tunaambiwa watatuletea maendleo, wako Tz tu... duh!
 
Sio povu mkuu kuwa muelewa that is cheap politics na muda mwingine ni biashara,nani alikwambia mkoa wa Mara una wanawake 300 tu? Au nani alikwambia mkoa wa Mara mzima ni watu 300 tu ndio hawana mitungi ya gesi.
Waziri asiejua hata ukubwa wa tatizo LA wizara yake. Hamna mwenye chuki na waziri.
Nimeendelea kuamini kuwa mtoto akipata zero kidato cha nne au kidato cha sita; kamwe hatakaa apate akili.

Marope ni mweupe sana; sisiemu ikileta huyu kugombea kura hizo bora wananchi wampigie Mzee wa Ubwabwa Mzee. Hashimu atafaa kuwa Rais bora zaidi kuliko huyu Marope.

Anashindwa kuweka hizo pesa za kugawa mitungi bure katika bwawa ili tupate umeme kwa wakati.
Anashindwa kuzuia umeme kukatika kila siku.
Anashindwa kuleta bei nafuu ya mafuta na gesi.
Bado hatujamaliza bwawa la Mwalimu Nyerere, tunaona maneno na visingizio visivyo kifani,. Ona sasa , kwa uwezo mdogo sana wa Marope aliokuwepo nao yeye gafula anakimbilia kuanzisha kujenga kibwawa kidogo sana cha kutaka kuzalisha viumeme kama doti kule mikoa ya kusini (Njombe/Iringa).

Tanzania, imeneemeshwa na uumbaji ila tatizo ni hawa wanaookotezwa kuwa viongozi ambao hata wao wenyewe hawawezi kujiongoza.
Hii ndiyo shida kubwa hapo Tanzania.
 
Back
Top Bottom