Waziri January Makamba anamaanisha Magufuli alikuwa akiwakatia umeme watumiaji wakubwa na kuwatisha wakae kimya?

Si bora hao waliovuta angalau ukafika ukiwa hafifu?

Nafikri hao waliovuta ukafika kila kona wanaakili sana hata kama uko hafifu, maana kuweka substations ni kitu rahisi zaidi kuliko kupeleka huko mitaani kwa watu.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wasenge Jana wameikosesha utamu ya Yanga na Biashara kwa dakika 60.Hapo nilishatembea kutafuta Banda lenye generator,nimefika napo mafuta yalishaisha.Yaa TANESCO is a nail in the ASS.
 
Hiyo miti inayokatwa kwa kuzaalisha mkaa na kupikia kuni huion?
Na ile ya mbao vipi?
Huyo january kama angekuwa anapenda mazingira si angepunguza bei ya gesi watu
waache kupikia kuni na mkaa, au angahakikisha watu wanapikia umeme.
Hopeless!!!!
 
KATIBA INAHUSIKAJE NA UKATIKAJI AU UCHAKAVU WA MITAMBO YA UMEME??
 
Majibu ya makamba ni ishara tosha kwamba awamu ya tano walifanya kazi ya umeme bila kufuata vigezo vya kisayansi.
 
Kama uzalishaji umepanda mfumko wa bei unatoka wapi? The market is controlled by demand and suplly. Kama kuna uzalishaji mwingi basi supply ni kubwa hivyo bei inakuwa ndogo.

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Usisahau POPULATION, miundombinu nk hufanya watu wengi kuhitaji huduma hivyo mfumuko wa bei huwezi kuukwepa. Samahani una elimu gani??
 
Waziri kuulizwa maswali unataka aulizwe huku anabembelezwa? Mbona hivyohivyo huulizwa kwa waziri wa maji, waziri wa afya, waziri wa elimu?
Unataka wambembeleze makamba ili iweje?
Na Kama wanaona hafai kuongoza wizara ni haki yao, hata kalemani alipigwa maswali hivyohivyo na alionekama hafai ndio maana akatolewa.
Kwa nini kwa makamba uone kama anaonewa?
Watu wanachotaka ni umeme, ikiwa hayo mashinikizk yalifanya wakapata umeme wa uhakika basi ni bora waendelee na hayo mashinikizo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Makamba ana mipasho khaah. Kumekuchaaaaaaah.
Acha inyeshe tujue panapovuja, uwiiiiih
 
Majibu ya makamba ni ishara tosha kwamba awamu ya tano walifanya kazi ya umeme bila kufuata vigezo vya kisayansi.
Umeme ni kitu ambacho hakidanganyi, ukileta ujanja kinakuumbua.
Ikiwa hawakufuata hiyo sayansi,wala hata kusingekua na cha kuficha, nchi nzima ingekua giza.
Kamati ya nishati Jana walisema, waliomba wizara iwape hiyo RM schedule ya hiyo miaka mitano nyuma ili waone kama haikufaanyika. Ila hadi sasa hawajapata
 
Kichwa panzi wewe!!

Wewe mwezi wa kwanza unakaujinga kichwani, ni bora unyamaze ili ufanyeuliyokusudia

Jinga sana weww
 
Ns swali kaulizwa yeye km waziri anamchomekea Samia wa nini.
Eti km una chuki na mimi au mama Samia.
Jibu swali kuhusu kukatika kwa umeme kiholela full stop.
Hivi **** swali limeulizwa? Limeulizwa na nani?

Tumesikia tu mjinga Musukuma akilalamika. Kuna yeyote aliuliza swali?
 
Makamba mwenye alikiri kwamba "UMEME ZAMANI ULIKUWA HAUKATIKI MARA KWA MARA SABABU KULIKUWA HAMNA SCHEDULE MAINTENANCE........".

Sasa Magufuli alidanganya nini wakati mwenyewe kakiri kwa kinywa chake, zamani umeme ulikuwa haukatiki.......
 
Toka Makamba amekuwa waziri wa nishati kila siku amekuwa akiongea wazi wazi kwamba awamu ya Magufuli iliharibu miundo ya nishati na leo kaongea wazi kwamba hata nyaya za kusafirishia umeme siyo sahihi yaani ni za low capacities kwa njia husika,,,,Mwinuka aliyekuwa mbobezi kwenye energy, Kalemani na Magufuli wote hao wasomi kweli wangefanya anayotuaminisha January? Hii ni kazi inafanyika ya kumchafua Magufuli na waliokuwa watendaji wake. Samia ana kampeni ya kuharibu legacy ya Magu ndiyo maana kuna porojo nyingi mara crane na sasa nyaya ,,kiufupi wanasafisha njia ya kuleta upigaji au kusitisha kabisa huo mradi kwani mabeberu hawapendi nchi za afrika ziwe na reliable energy
 
Alinilishanagaza San eti watumiaji wakubwa wanapigwa mkwara Hilo lilikuwa dongo kwa kalemani
 
Unamaanisha kipindi cha Kalemani uzalishaji wa umeme ulitosha kwa mahitaji ya nchi nzima?
Au unamaanisha wakati wa Kalemani umeme ulikuwa haukatiki?
Kwa hiyo Makamba ndiye anayekukatia wewe umeme?
Makamba mwenye alikiri kwamba "UMEME ZAMANI ULIKUWA HAUKATIKI MARA KWA MARA SABABU KULIKUWA HAMNA SCHEDULE MAINTENANCE........".

Sasa Magufuli alidanganya nini wakati mwenyewe kakiri kwa kinywa chake, zamani umeme ulikuwa haukatiki.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…