Waziri January Makamba, siku mbili za miujiza ulizotuahidi tunakukumbusha zimekwisha

Waziri January Makamba, siku mbili za miujiza ulizotuahidi tunakukumbusha zimekwisha

Waziri siku ya Jumatatu ulitoa tamko na kutuahidi watanzania kuwa baada ya siku mbili utakuja na suluhu ya tatizo la umeme na ukame unaoikabili nchi yetu kwa sasa.

Waziri leo ni Jumamosi lakini tunaona uko kimya wala huna habari kabisa na umesahau kama ulitoa ahadi ya kutupatia muujiza ndani ya wiki hii...

Waziri watanzania hawajasahau maana tatizo la ukame na umeme bado lipo hivyo tunaomba utupatie huo muujiza utakao kuwa suluhu kama ulivyo ahidi...

Mh waziri kama itakupendeza kwa niaba ya watanzania naomba nikuongezee siku mbili zingine ili ikiwezekana kama sio jumatatu au jumanne utupatie huo muujiza utakao kuwa suluhu la haya matatizo ya ukame na umeme.
Mvua ndiyo hizo tayari,swali la nyongeza tafadhali

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Lowasa najua ni tapeli miaka dahari, tafuta popote nilipo wahi kumuunga mkono huyo mzee tapeli la kisiasa. Ukipaona uje tuendelee na mada.
amaa yangu Tindo, umesahau ule utapeli wa mvua kutoka Thailand na ulinzi wa kura zetu wazee wa ulipo tupo....tukampigia deki barabara...
 
Back
Top Bottom