Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama mimi naona aibu hata kuangalia picha yake akiwa anagalagala, vipi watoto wake?
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara


Kama Waziri anafanya hivyo sijui Lukas atafanya je siku akishikwa mkono na Rais. Huyu Mwanamke Inawezekana hajawahi kuwashukuru wazazi au mme wake kwa kiasi hicho ila ana galagala kwa mwanamke mwenzake. Aibu.
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Hizo ni mila za Kingoni wanawake hugalagala kuonyesha kushukuru kama ambavyo wanawake wa Kanda ya Ziwa na Mbeya hupiga magoti. Kama hujui uliza!
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Kama Waziri anafanya hivyo sijui Lukas atafanya je siku akishikwa mkono na Rais. Huyu Mwanamke Inawezekana hajawahi kuwashukuru wazazi au mme wake kwa kiasi hicho ila ana galagala kwa mwanamke mwenzake. Aibu.
Hizo ni mila za Kingoni kama hujui uliza kabla ya kulaumu!
 
Ni vigumu sana nchi hii kuendelea.
Hiki kitendo kimeshusha thamani na hadhi ya cheo cha uwaziri. Hii ni aibu kubwa sana kwa nchi.
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Yaani , watu wa Peramiho ni mazoba kama yeye au alitaka kuonyesha nini.
 
Alichofanya Mhe. Mhagama ni kitendo ambacho kinahesabila Ni heshima kubwa kwenye Jamii ya Wangoni huko Peramiho na Ruvuma.
Kabisa, ndio mila na tamaduni inayoonyesha heshima ya hali ya juu
 
Halali yake huyo nikutenguliwatu. Waziri gani hajielewi. Anakata mauno chini mbele za watu
 
Back
Top Bottom