Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa mfano kama unauhakika na unachoongeaHujawahi kusikia kuhusu utamaduni wa kipumbavu?
Kwa mfano kuna baadhi ya nchi ushoga upo kwenye utamaduni, ni sawa?
Kwani kuna mkeka unatarajiwa???
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Hizo ni mila za Kingoni wanawake hugalagala kuonyesha kushukuru kama ambavyo wanawake wa Kanda ya Ziwa na Mbeya hupiga magoti. Kama hujui uliza!Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Hizo ni mila za Kingoni kama hujui uliza kabla ya kulaumu!Kama Waziri anafanya hivyo sijui Lukas atafanya je siku akishikwa mkono na Rais. Huyu Mwanamke Inawezekana hajawahi kuwashukuru wazazi au mme wake kwa kiasi hicho ila ana galagala kwa mwanamke mwenzake. Aibu.
Tutaona mengi
Yaani , watu wa Peramiho ni mazoba kama yeye au alitaka kuonyesha nini.Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Hizo ni mila za Kingoni kama hujui uliza kabla ya kulaumu!
Kabisa, ndio mila na tamaduni inayoonyesha heshima ya hali ya juuAlichofanya Mhe. Mhagama ni kitendo ambacho kinahesabila Ni heshima kubwa kwenye Jamii ya Wangoni huko Peramiho na Ruvuma.
Ndiyo anapenda kuabudiwa hivyoHata Samia atakuwa amesikitika sana. Kwani si wananchi wanalipa kodi kwa ajili ya miradi ya maendeleo? Huu ni uchawa na ushamba sijui
Hapo anafanya ushirikina pekee wala hana loloteYah right. Miaka yote alikuwa wapi kugalagala mpaka amsubiri Chief Hangaya. Acheni ujinga hapa.
Njaa ikihamia kichwani inakuwa shidaa !Tumbo lina changamoto sana, ukiliendekeza ndio kama hivyo.
Kwamba alimuonaga Punda amegalagala pale na yeye akaamua amalize mambo yake yote pale ??! 😂😂😅Hapo anafanya ushirikina pekee wala hana lolote
Kwahiyo hapo ndo alikuwa anamuonyesha shukrani chura kiziwiHii nchi ngumu sana. Kuna mambo inabidi uyapuuzie tu, ukiyafuatilia sana utajikuta uko chumba maalum Mirembe.
Fundi kwenye kipengele ganiWaziri anaonekana fundi kweli kweli SI kwa mkao huo.
#Senkyu Mistachea.