Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Teuzi zinaomba kwa tabu sana, Sasa hapo alipo lala chini inafaa alaliwe kwa juu.
downloadfile.jpg
 
Hili tukio la kushangaza lilitokea hapo jana Rais Samia Suluhu alipotembelea Ruvuma ghafla Mbunge wa Peramiho ambae ni Waziri Wa Afya Bi. Jenista Muhagama kuchukua maamuzi ya kugalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Kwa maendeleo aliyoleta jimboni kwake, Kwa mliofika Peramiho na Ruvuma Kwa ujumla mnaijua ilivyo🙌
Habari Katika picha akibubujikwa na machozi huku akigalagala😎
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-070054.jpg
    Screenshot_20240925-070054.jpg
    393.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-070039.jpg
    Screenshot_20240925-070039.jpg
    360.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-070023.jpg
    Screenshot_20240925-070023.jpg
    369 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-070010.jpg
    Screenshot_20240925-070010.jpg
    373.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240925-065957.jpg
    Screenshot_20240925-065957.jpg
    378.1 KB · Views: 2
Hili tukio la kushangaza lilitokea hapo jana Rais Samia Suluhu alipotembelea Ruvuma ghafla Mbunge wa Peramiho ambae ni Waziri Wa Afya Bi. Jenista Muhagama kuchukua maamuzi ya kugalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Kwa maendeleo aliyoleta jimboni kwake, Kwa mliofika Peramiho na Ruvuma Kwa ujumla mnaijua ilivyo🙌
Habari Katika picha akibubujikwa na machozi huku akigalagala😎
Jenister amefanya hayo akiwa kijijini kwao

Na kwao alichofanya kiko kimila zaidi…. Hata ukienda kwa baadhi ya wenyeji wa lindi na mtwara huwa wanafanya the same

Ifike mahali mengine tujifunze tu
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Uongo(acting) na ulozi ni watu wa kuchomwa.
 
Back
Top Bottom