Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss wake ni Rais maana ana report moja Kwa moja Kwa mkuu wa nchiHili tukio la kushangaza lilitokea hapo jana Rais Samia Suluhu alipotembelea Ruvuma ghafla Mbunge wa Peramiho ambae ni Waziri Wa Afya Bi. Jenista Muhagama kuchukua maamuzi ya kugalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Kwa maendeleo aliyoleta jimboni kwake, Kwa mliofika Peramiho na Ruvuma Kwa ujumla mnaijua ilivyo🙌
Habari Katika picha akibubujikwa na machozi huku akigalagala😎
utamaduni wa kugalagala ni wa Kingoni huko Songea, ni fahari na utambulisho wa utamaduni wao kwa wageni wa kitaifa na kimataifa. Hawezi kugalagala akiwa kwenu kondoa,kule kwenu utamaduni wenu ni wa Kuta viono mkiwa mmeshika mabega...
Kwa hiyo anairuka wizara ya Afya anaenda kiripoti Kwa Rais moja Kwa moja?Boss wake ni Rais maana ana report moja Kwa moja Kwa mkuu wa nchi
No wonders ana ile level ya English! Anajua kulala tu!
Serikali ya samaki!utamaduni wa kugalagala ni wa Kingoni huko Songea, ni fahari na utambulisho wa utamaduni wao kwa wageni wa kitaifa na kimataifa. Hawezi kugalagala akiwa kwenu kondoa,kule kwenu utamaduni wenu ni wa Kuta viono mkiwa mmeshika mabega...
kule kwetu huwa nikitoka katika shughuli za kisiasa nje ya Jimbo au nje ya nchi, mapokezi ya siku nikirudi huwa wananipaka unga na majivu usoni, wananivisha ngozi za wanyama rungu, mkuki, shanga nyeupe n.k, mtu asiejua utamaduni wetu anaweza kudhani nimekua mganga wa kienyeji, kama ambavyo huwa wanafikiria hamisi kigangwala 🐒
Wenyewe kule kwetu (kunyumba) tunaita KUGALAUKA. Ni akinamama hufanya hivyo kuonyesha shukrani ya hali ya juu kwenye jambo fulani anayegalaukiwa amelitenda...!! Kwahiyo, huko kwetu ungonini, umatengoni na umandani, ni jambo la kawaida kwenye kuonyesha shukrani.Jenister amefanya hayo akiwa kijijini kwao
Na kwao alichofanya kiko kimila zaidi…. Hata ukienda kwa baadhi ya wenyeji wa lindi na mtwara huwa wanafanya the same
Ifike mahali mengine tujifunze tu
Kwani aliteuliwa na nani?Kwa hiyo anairuka wizara ya Afya anaenda kiripoti Kwa Rais moja Kwa moja?
ujifunze ujingaJenister amefanya hayo akiwa kijijini kwao
Na kwao alichofanya kiko kimila zaidi…. Hata ukienda kwa baadhi ya wenyeji wa lindi na mtwara huwa wanafanya the same
Ifike mahali mengine tujifunze tu
Nadhani viongozi waandamizi serikali wataendelea, watagalagala sana panapostahili, watavaa sana kaniki, ngozi za wanyama n.k kulingana na utamaduni, mila na desturi za maeneo yao kuonyesha shukrani kwa Rais kwa kazi za maendeleo kwao, lakini pia kuenzi na kutambulisha utamaduni wao nje ya maeneo yao 🐒Serikali ya samaki!
Alipiga pesa kupitilizaHivi kwanini walimuondoa Ummy Mwalimu!?
Mbona alikua ana perform vema tu!?
Nadhani viongozi waandamizi serikali wataendelea, watagalagala sana panapostahili, watavaa sana kaniki, ngozi za wanyama n.k kulingana na utamaduni, mila na desturi za maeneo yao kuonyesha shukrani kwa Rais kwa kazi za maendeleo kwao, lakini pia kuenzi na kutambulisha utamaduni wao nje ya maeneo yao 🐒
Ila hii nchi aliyetuloga!hatari imagine huyo ndio mkeo au mama yako mzaziWazungu wanawaita waafrika manyani Kwa sababu ya watu wachache wajinga namna hii
Ahaaa sasa nimekupata.kule kwetu huwa nikitoka katika shughuli za kisiasa nje ya Jimbo au nje ya nchi, mapokezi ya siku nikirudi huwa wananipaka unga na majivu usoni, wananivisha ngozi za wanyama rungu, mkuki, shanga nyeupe n.k, mtu asiejua utamaduni wetu anaweza kudhani nimekua mganga wa kienyeji, kama ambavyo huwa wanafikiria hamisi kigangwala
Shida mguu wa pili sijaona umekaaje.Fundi kwenye kipengele gani
Hapo anafanya ushirikina pekee wala hana lolote