Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Sema Silaa anajihidigi kamsimamo. Kila la kheri kwake.Habari za majukumu Waziri Mteule wa Habari,
Sisi wananzengo, tunakuomba ukishaapishwa tu, jambo la kwanza la kutilia mkazo katika vipaumbele vyako ni Internet ya Elon Musk.
Tunaomba Star Link wapewe vibali hapa Tanzania maana mtangulizi wako alikataa kata kata.t
Tunaomba usije ukawekwa mfukoni na mitandao ya simu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako
thubutukuanza kazi karibuni
Your wishes au from confirmed sourcesStarlink ya Elon Musk kuanza kazi karibuni nchini.
NGOs watatusaidia public wifi1.2m ya kuinstall wangapi wanayo?
starlink haitowaondoa kina airtel, wala sio lengo lake.
Osha vyombo huko acha kelele.NGOs watatusaidia public wifi
Hahaha nimecheka kwa sauti. Mshamba hachekwi bana.Osha vyombo huko acha kelele.
ukitukanwa tusi zito utalalamika tufungiwe. Acha matusi, jibu haja kama huna hoja ya kuchangia topic pita zako, songa mbeleOsha vyombo huko acha kelele.
'20 walizima internet kwenye vuguvugu la post-electionKizingiti (the stumbling block) kimeshanyofolewa
starlink ghali bwana๐ 130k kwa mweziukitukanwa tusi zito utalalamika tufungiwe. Acha matusi, jibu haja kama huna hoja ya kuchangia topic pita zako, songa mbele
Mnachanga hata kumi mnanunua mnapata WiFi ya pamoja1.2m ya kuinstall wangapi wanayo?
starlink haitowaondoa kina airtel, wala sio lengo lake.
Oa weweee'20 walizima internet kwenye vuguvugu la post-election
wakiruhusu starlink, huo uwezo hawana tena, mpaka wapige simu kule
๐๐๐ niletee mtoto mmoja toka Netivot, nasikia hawaendi mwezini, ni kweli ?Oa weweee
nimeamini mchawai ni huyuEbana wanajamvi inakuwaje?
Kizingiti (the stumbling block) kimeshanyofolewa. Starlink ya Elon Musk kuanza kazi karibuni nchini.
Jerry hatatuangusha.
Starlink inatumika siku nyingi tu mkuu, hata hapo Sirali mpaka accessories za stalink zinapatikanaEbana wanajamvi inakuwaje?
Kizingiti (the stumbling block) kimeshanyofolewa. Starlink ya Elon Musk kuanza kazi karibuni nchini.
Jerry hatatuangusha.
Aibu imemshuka! Kadeactivate ac yake kule X yenye following 1millionnimeamini mchawai ni huyu
View attachment 3048704