Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Habari za majukumu Waziri Mteule wa Habari,
Sisi wananzengo, tunakuomba ukishaapishwa tu, jambo la kwanza la kutilia mkazo katika vipaumbele vyako ni Internet ya Elon Musk.
Tunaomba Star Link wapewe vibali hapa Tanzania maana mtangulizi wako alikataa kata kata.
Tunaomba usije ukawekwa mfukoni na mitandao ya simu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako.
Pia soma
Sisi wananzengo, tunakuomba ukishaapishwa tu, jambo la kwanza la kutilia mkazo katika vipaumbele vyako ni Internet ya Elon Musk.
Tunaomba Star Link wapewe vibali hapa Tanzania maana mtangulizi wako alikataa kata kata.
Tunaomba usije ukawekwa mfukoni na mitandao ya simu kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako.
Pia soma