Je alimripoti TAKUKUKURU mtu aliyetaka kumpa rushwa hiyo ya m300/-?Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.
Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.
Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.
I wish you a Merry Christmas π
======
Dar es Salaam
βNimekataa Rushwa ya Tsh. Milioni 300β- Waziri wa Ardhi Mhe . Jerry Silaa
Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Jerry Silaa, ametangaza kusitisha matumizi ya kituo cha mafuta cha Barrel kilichopo Mikocheni, mkoani Dar es Salaam, kutokana na kituo hicho kujengwa bila kufuata utaratibu wa Wizara hiyo.
Mhe. Silaa amesema hayo alipotembelea eneo hilo, kilipojengwa kituo hicho, ambapo amebainisha kuwa, kuna watu walimfuata wakitaka kumpa rushwa ya Tsh. Mil. 300/= ambazo amedai amezikataa huku akibainisha kuwa ukichukua rushwa kila kitu utaona kipo sahihi.
Waziri huyo pia amewaagiza Wakuu wa Idara wa Ardhi na Mipango Miji nchi nzima kufanya uhakiki wa vituo vya mafuta vilivyo kwenye maeneo yao, kwa kuangalia matumizi yake pamoja na mchakato uliotumika kupatikana kwa viwanja hivyo
View attachment 2851260
Hapana kama alikuwa anataka kuzuia hii hali angepokea halafu akachukua na ku report palepale ili hawa wachukuliwe hatua. Sheria inakutaka u report haya mambo.Pamoja na kwamba rushwa ni changamoto kubwa katika siasa zetu, Jerry anastahili pongezi nyingi kwa kupambana kwa maneno na vitendo. Amesema hadharani kwamba alipelekewa rushwa akakataa na amewaachisha watumishi kazi.
Nakuhakikishia jamaa hakutaka drama kwenye media za waziri, ataenda mahakamani na atashinda rahisi kabisa ndio maana alikuwa mpole tu, sana sana ataambiwa tu rekebisha baadhi ya sehemu.Kama huyo mwenye kituo ana vibali vyote, basi amburuze Waziri wa Aridhi Mahakamani ili apate haki yake!!
Hivi kwenye hiyo rushwa ya m300 takukuru wao wangekula ngapi kutoka kwa mtuhumiwa!?Je alimripoti TAKUKUKURU mtu aliyetaka kumpa rushwa hiyo ya m300/-?
Labda aliona ndogo sana kauliza kwa mwenyewe je ulitoa 300 au ulitoa zaidi watu wakapiga cha kwao. au kama anawaambia 300 ndogo. Ila Waziri rushwa sio pesa tu unaweza kuwa unafanya kumsaidia washkaji zao kama yule Mama hio pia rushwa, kuna aina nyingi za rushwa sio pesa tu. Sheria ilifuatwa ikiwa yes basi waziri kaa pembeni ka deal na sheria. Kusema bango mliweka mkapiga picha na kuliondoa kabla ya mwezi, hizo ni shutuma tu huna ushahidi.Jerry Slaa akikataa milioni 300 nakula ndala. Hana ubavu huo mwongo mkubwa.
Yeye kama Wazir amechukua hatua Gani baada ya hao anaodai walitaka kumpa rushwa?Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.
Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.
Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.
I wish you a Merry Christmas π
======
Dar es Salaam
βNimekataa Rushwa ya Tsh. Milioni 300β- Waziri wa Ardhi Mhe . Jerry Silaa
Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Jerry Silaa, ametangaza kusitisha matumizi ya kituo cha mafuta cha Barrel kilichopo Mikocheni, mkoani Dar es Salaam, kutokana na kituo hicho kujengwa bila kufuata utaratibu wa Wizara hiyo.
Mhe. Silaa amesema hayo alipotembelea eneo hilo, kilipojengwa kituo hicho, ambapo amebainisha kuwa, kuna watu walimfuata wakitaka kumpa rushwa ya Tsh. Mil. 300/= ambazo amedai amezikataa huku akibainisha kuwa ukichukua rushwa kila kitu utaona kipo sahihi.
Waziri huyo pia amewaagiza Wakuu wa Idara wa Ardhi na Mipango Miji nchi nzima kufanya uhakiki wa vituo vya mafuta vilivyo kwenye maeneo yao, kwa kuangalia matumizi yake pamoja na mchakato uliotumika kupatikana kwa viwanja hivyo
View attachment 2851260
Rushwa za mamilioni mengi hazitolewi mkononi kama 50,000 anayopewa mtendaji kata au 5000 za polisi za kung'arisha viatu.Hapana kama alikuwa anataka kuzuia hii hali angepokea halafu akachukua na ku report palepale ili hawa wachukuliwe hatua. Sheria inakutaka u report haya mambo.
Mkuu, hawa watu wanacheza na akili za watanzania ambazo hazitafakari wala kuhoji tunaloambiwa. Hivi waziri akihongwa anatakiwa fanye nini? Yaani waziri wa serikali anahongwa sh mil 300 halafu hachukui hatua? Kwa kifupi alizira kwa sababu aliona ni kidogo la sivyo angechukuwa hatua.Je alimripoti TAKUKUKURU mtu aliyetaka kumpa rushwa hiyo ya m300/-?
Pumbafu kabisa wewe. Huna akili. Au wewe ndiyo huyo Jerry. Unataka kutuaminisha waziri anayepelekewa ujumbe wa kupewa rushwa hawezi kuchukuwa hatua? Idiot!Rushwa za mamilioni mengi hazitolewi mkononi kama 50,000 anayopewa mtendaji kata au 5000 za polisi za kung'arisha viatu.
TAKUKURU hupewa taarifa na kuzuia zaidi kuliko kuweka mitego ambayo ni ngumu kupata ushahidi wa kutosha kutia hatiani.
Hata hivyo, hajasema alipelekewa pesa, Ila nilivyomsikia alipelekewa ujumbe kuwa pesa yake (300m) ipo kwenye mchakato huo wa ki rushwa.
Kitendo cha kuzungumza hadharani kina faida katika mapambano;
1. Kwenye kituo (mtuhumiwa) anaweza kuhojiwa na mwisho ataogopa kutoa tena rushwa. Vivyo hivyo maafisa waliohusishwa (kazi kwa TAKUKURU)
2. Waliohusishwa kimazingira (akiwemo mwenye kituo) aweza kudai fidia ya kuchafuliwa na waziri, kwa kuthibitisha uongo aliosema)
Hatar sana πKibaya zaidi bora angekaa kimya,anajitangaza hadharani na kukitukana chama kuwa eti wanakula rushwa huku wakijiita watoto was maskini na yeye ni tajiri mkataa rushwa!!
Aiseh kacheza Boko,hiyo wanafiki ndani ya chama watasema anatukana chama huyu jamaa!!
Mengine tumwachie mungu!
Mpumbavu, masikini wa akili hujibu hoja kwa matusi.Pumbafu kabisa wewe. Huna akili. Au wewe ndiyo huyo Jerry. Unataka kutuaminisha waziri anayepelekewa ujumbe wa kupewa rushwa hawezi kuchukuwa hatua? Idiot!
Kama masihala Mzee wa dakika ya 899 htuko naye tena! Dah nenda MembeMtoto wa Muwindaji
Rip Kamilius
Pande zipi hizo za moto tunaomba nasi tuzijue πHii issue ime husisha pande mbili za moto ndo maana kakimbia kuchukua iyo pesa ..pesa za moto hawachukuagi
Exactly ! πUmasikini mbaya kuliko wote ni ule wa akili.
Duh! Braza msamehe basi, ahahahah!Mpumbavu, masikini wa akili hujibu hoja kwa matusi.
Siyo kosa lako, wasio na akili ni wengi kiasili, wewe ukiwa mmoja wao.
Kinachojadiliwa hapa ni hatua alizochukua. Amemsimamisha kazi mkurugenzi, amefika kituoni amesimamisha mchakato wa ujenzi na kutangazia Uma.
Wengine ubongo wenu bado upo kwenye hatua za mwanzo za evolution.
Hasira kama za wanyama tu, hata sokwe na jamii yake wana afadhali.
Fikiria kama binadamu, tafakari, jibu hoja kwa kuona mbali badala ya matusi.