Waziri Juliana Shoza ampa masaa 3 Zari kujieleza kwanini kapost uchafu

Waziri Juliana Shoza ampa masaa 3 Zari kujieleza kwanini kapost uchafu

Territorial jurisdiction imegoma.

Tulipokuwa tunasoma cyber law tulikuwa tunaambiwa moja ya challenge kwa sheria za mtandao ni kwamba Cyber space have no boundaries. Mtu aliyepo marekani anaweza akafanya kosa Tanzania na mtu aliyepo Nigeria anaweza akafanya kosa Uingereza.

Let's say kwa mfano hata Zari akamtukana Magufuli tunamwajibishaje siyo Raia wetu, na hayupo kwenye ardhi yetu. At least hata Mange ni mtanzania tunaweza hata tukaomba USA wamkamate watuletee (na hawawezi kukubali maana sheria yetu ya mtandao wanaona ni kandamizi walitunyima na pesa za MCC bado tukakomaa) lakini kwa Zari no Waziri amekurupuka
TUJIKUMBUSHE ZILE PRODUCTS ANAZOSIFIA KWA KUTUMIA MGONGO WA NCHI YETU TANZANIA!
Waziri ame base hapo!
Serikali ya sasa hivi haipurukuki bali ina kuzibia mifereji yako!
Ina pasa kuwa na BUSARA NA HEKIMA UKIWA PUBLIC FIGURE!
 
Zari sio MTANZANIA, ni Mganda...duh Magufuli ndio Rais mwenye bahati mbaya kuwahi kuwa na Cabinet mapopoma haijawahi kutokea...huenda hata Shonza mwenyewe sio Mtanzania, haiwezekani uanze kuamlisha watu hata wa nje ya mipaka ya Nchi!!!
 
Kwahiyo Donald Trump akifanya utumbo na followers wake twitter wakiwa watanzania atamwandikia pia email ya kutoa maelezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hii taarifa ni ya kweli, basi viongozi wa aina hii wanaliaibisha taifa letu pendwa. Na hii yaweza kuwa kwa makusudi au hizo nafasi hawakuzistahili kwa kuwa uwezo wao kiuongozi ni mdogo mno.
 
Watu wanaanzisha nyuzi kwa kupitia majina ya watu maarufu ili wapate wachangiaji
 
Juliana Shonza kamwambia Zari amtumie email ndani ya masaa 3 isiyozidi maneno 400 kwanini amepost papuchi huko Instagram.Shonza amedai Zari yuko chini ya wizara hiyo sababu asilimia 80 ya followers wake ni watanzania pamoja na mme wake mtarajiwa
Iweke hapa tuone kama ni kweli na sisi wengine huko insta hatupo
 
Zarithebosslady ni mfanyabiashara ambaye ana mikataba ya kibiashara na kampuni mbalimbali hivyo natumai hawezi kufanya hivyo vinginevyo labda ile habari ya kuwa akaunti yake ya Instagram imekuwa hacked.
Hakuna mfanyabiashara ambaye anawaza kubomoa image yake kirahisi hivyo wakati ametumia nguvu kubwa kuijenga.
 
Territorial jurisdiction imegoma.

Tulipokuwa tunasoma cyber law tulikuwa tunaambiwa moja ya challenge kwa sheria za mtandao ni kwamba Cyber space have no boundaries. Mtu aliyepo marekani anaweza akafanya kosa Tanzania na mtu aliyepo Nigeria anaweza akafanya kosa Uingereza.

Let's say kwa mfano hata Zari akamtukana Magufuli tunamwajibishaje siyo Raia wetu, na hayupo kwenye ardhi yetu. At least hata Mange ni mtanzania tunaweza hata tukaomba USA wamkamate watuletee (na hawawezi kukubali maana sheria yetu ya mtandao wanaona ni kandamizi walitunyima na pesa za MCC bado tukakomaa) lakini kwa Zari no Waziri amekurupuka
Huyo waziri wenu mshaulini basi awe ana mkosult hata Mwakyembe kwenye maswala ya kisheria kabla ya kuja public
 
Kuna watu wanafikiri Instagram inamilikiwa na serikali ya jiwe
 
Atulie ajifungue salama aache kuparamia watu. Watamutia vichomi bure`
 
Back
Top Bottom