Waziri Juliana Shoza ampa masaa 3 Zari kujieleza kwanini kapost uchafu

Waziri Juliana Shoza ampa masaa 3 Zari kujieleza kwanini kapost uchafu

Ukimya wote halafu anakuja na hili

Kweli kuna wizara zingine unaenda kupumzika tuu ofisini
 
Territorial jurisdiction imegoma.

Tulipokuwa tunasoma cyber law tulikuwa tunaambiwa moja ya challenge kwa sheria za mtandao ni kwamba Cyber space have no boundaries. Mtu aliyepo marekani anaweza akafanya kosa Tanzania na mtu aliyepo Nigeria anaweza akafanya kosa Uingereza.

Let's say kwa mfano hata Zari akamtukana Magufuli tunamwajibishaje siyo Raia wetu, na hayupo kwenye ardhi yetu. At least hata Mange ni mtanzania tunaweza hata tukaomba USA wamkamate watuletee (na hawawezi kukubali maana sheria yetu ya mtandao wanaona ni kandamizi walitunyima na pesa za MCC bado tukakomaa) lakini kwa Zari no Waziri amekurupuka
Tatizo nina shaka Shonza kashawahi kudikia kitu kinaitwa "cyber law".

Zari akimpotezea, huyo Waziri atafanya nini?

Ataiomna serikali ya Uganda imkamate Zari?

Atamripoti Zari Interpol akamatwe?
 
[emoji24][emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] honourable shoza atadeal na wewe Kwanzaa umuelekeze mbinu mpya ya kupat magari kwa njia hyo.
Akaribie kilingeni msata
 
Kama hii story ni ya kweli basi atakuwa akaribia kunaniliiiii.........
 
Dah huwa inafikia hatua nikitembea njiani nacheka pekee yangu.

Zari anatuhusu nini?
 
Back
Top Bottom