Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo

Mungu akutie nguvu na ujasiri mzee wangu wa Kanisa Prof Kabudi!
 
July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo


Pumbafu. Aliulizwa kuhusu Azory, yeye anajibu kuhusu Kibiti.
Ukiona mtu anaulizwa jambo husika alafu yeye anajibu lingine basi jiongeze
 
July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo
Ulijisahau ulijua unazungumza na TBC taifa.....kazi unayo na ulichofata huko wameaza kukugomea nn.mbona umerudi fasta kuwakataa bbc
 
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.

Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.

Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Uanasheria sa ivi uko tumboni ndugu..
 
Kuna vitu vikitoka huwa havirudi
1.Maneno yakishatoka mdomoni
2.Muda ukishaenda
 

Seriously, where was he quoted!!? " .... It's not only Azory Ngwanda .. hhm ... Azory who DISAPPEARED AND DIED". This was loud and clear.

Hakuna sehemu aliyonukuliwa. Amesema mwenyewe ... tena kwenye TV!! Bora angedai waliedit siyo walimnukuu. Hivi ni nani aliyemnukuu huyu bwana ...!!?

Instead of saying he was misquoted he should be apologizing and saying he wrongly expressed himself. Since English is not his mother tongue a lot of us will understand.
 
Back
Top Bottom