Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

kibudi ni hatari kwa afya

Le profeseri ni Mjumbe tyuu na Mjumbe hauwawii
 
Kwani waliosoma UDSM wote wanakuwa na busara? Vitu vingine ni inborn! Huwezi vibadili hata usomee Oxford!

Kwahiyo kwa mtizamo wako mwingine huoni ni kama vile anakidhalilisha kama siyo hata Kukichafua Kitaaluma Chuo Kikuu Kikongwe nchini Tanzania cha UDSM Kiongozi? Sijui Wanafunzi wake aliowafundisha kwa haya Maboko ( Makosa ) yake anayoyatoa mara kwa mara wanajisikiaje sasa huko waliko.
 
yaani kushindwa kumuelewa kwako ndio ajitathmini? wa kujitathmini ni wewe ambaye inawezekana umesoma mpaka chuo lakini bado utafakari kisomi hasa maneno ya kiprofesa
 
yaani kushindwa kumuelewa kwako ndio ajitathmini? wa kujitathmini ni wewe ambaye inawezekana umesoma mpaka chuo lakini bado utafakari kisomi hasa maneno ya kiprofesa
Umerudia kusoma ulichoandika kabla ya kupost!? Kwa uandishi huu,ambao unamaanisha na kufikiri kwako kupo hivi,basi huko Tanzania kuna upungufu mkubwa sana wa "utimamu wa akili" na " uwezo wa kufikiri" na kukitafsiri kile ukifikiriacho "kimaandishi" na "kimaneno".
 
Na ndiye tunayeambiwa alipata "first class" hapo udizimu.

Baadae kidogo tukaambiwa hakuna mwanafunzi yeyote aliyevunja rekodi yake toka enzi za Nyerere mpaka leo hii.

Ikasemekana kwamba yeye ni bingwa na mwamba wa kitaaluma na hakuna wa kumfua dafu. (sijui ni rocket sciences hizo alizokuwa anasoma??)
 
July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mahojiano yake na BBC kuhusu mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake fupi na kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo
 
Bado wataweweseka saana
July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake kwa umakini mbele ya kamera, ameseme alinukuliwa vibaya na ukweli ni kuwa vyombo vya usalama vya Tanzania bado vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo
 
Nadhani zile PUMBAVU nyingi zinazidi kumchanganyaa. Na bado atachanganyikiwa sanaaa.

Tangu alipochekelea kuitwa MPUMBAVU ndipo alipo pigia mstari kua yeye ni MPUMBAVU kweli kweli
 
July 12, 2019
London, Uingereza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.

Source : Millard Ayo

Tatizo ni kuwa BBC hawakumnukuu bali walimrekodi na wote tumesikia akisema Azory kafa. Hii hapa clip yake akithibitisha kuwa si azory pekee aliyepotea na kufa.
 
Back
Top Bottom