Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Anaikataa sauti yake sasa[emoji16][emoji16]
Bhahahahahaaaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhahahahahaaaaaa.
nimeamini kweli damu ya mtu ina athari kubwa hasa ikitoka bila hatuaTatizo huwa wanaropoka tu ila impact yake ya baadae huwa hawaijui. Na ndio maana wengi wao huishia kukanusha maneno yao wenyewe
Waziri amechemka on camera. Maelezo yake yaliacha mwanya kwa watu kuwa na tafsiri sahihi kuwa Aazory Gwanda amefariki.
Kakosea kwanza kwa kusema hivyo, halafu anaendelea kukosea kwa kushindwa kuomba radhi na kukubali kosa, analaumu tafsiri.
Basi waTanzania wote hatujui Kiingereza ndio maana tumeshindwa kutafsiri maneno ya Profesa.
Ujumbe tulioupata hapa ni kurudi darasani kujifunza lugha upya. Maana ni wengi tumemuelewa tofauti na alichokusudia kutueleza.
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.
Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.
Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Mwafrica akizungumza kitu chukua neno la kwanza tu , sisi tunachochukua ni ile kauli yake ya kwanza tu , hizi porojo zingine za akina Abbas hatuzitambui
Yeye ndiye anapaswa kurudi darasani kujifunza tofauti ya "disappeared and died" na "disappeared or died".
Kama hawa ndio watu wanaosimamia mikataba yetu, si ajabu tunapigwa changa la macho kila siku.
"Disappear and died" hapa alimaanisha kuwa kila mpoteaji hufa, therefor Gwanda kashakufa. Wewe ni nani kumsemea?Labda mimi ni mshauri tu professor Kabudi asiwe na pupa na papara anapongea na wanahabari kiukweli kauli yake haikua ina maanisha kupotea na kufa. But since he is on the side of the government any slip of a tongue in such issues is taken terribly serious! He should calibrate himself and adopt such communication skills that leaves no loopholes for misinterpretation of his verbal contents.
Watarudi tena 2020 labda si Nec
prof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.
mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
"Disappear and die" tafsiri yake ni nini?Nimesikiliza mara kadhaa yale mahojiano yaliyofanyika kwa lugha ya Kiingereza. Nikasikiliza pia alipohojiwa kwa lugha ya Kiswahili. Hakuna mahali prof Kabudi amesema Azory kafa. Sasa nimeamini kwamba ni kweli kuna watu wanatumia kila njia kuichafua serikali na viongozi wa nchi. Ni bahati mbaya sana.
Mara ya kwanza niliamini sijamsikia akisema hivyo. Ikabidi nirudie kusikiliza mara 2 na bila shaka yeyote Prof. umpende usimpende aliyasema maneno hayo. Kitu cha kiungwana akubali tu kama amekosea na aombe radhi (ingawa sio kawaida yetu watanzania). Na kwa mwanasheria nilitegemea angekuwa makini zaidi. Hapa issue ya Mbowe na Sugu haingii kabisa Prof. ameharibu na Dr Abbasi angekaa mbali amuachie aliesema azungumze.prof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.
mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
Sio mimi bali ni profesa aliyesema tulichokielewa sicho alichokusudia tukueleza.Unataka kutwambia kuwa watanzania woote 55m hawajui kiingereza?
Sidhani kama alinunua uprofessor. Shida inakuja pale wanapoingia kwenye siasa wengi hawana experience na ndio yanapowakuta hasa wanapojaribu kutetea visiyo kuwa na utetezi. Asinge unganisha ya Azory na yaliyowakuta wengine labda asinge likoroga. Wote wakina Bashiru, Mwakyembe, Kitila haya yanawahusu. Na majaji wasiokuwa waangalifu pia wameingia mkenge wa kutumika na wanasiasa (Kaijage na Mutungi ni mifano mizuri). Ni vizuri hili limemkuta kama ni mahiri kama tunavyo ambiwa atajitafakari sana, kwa wastarabu leo angeachia ngazi.Ameonyesha umbilimbi wake
Alipohojiwa wakati ule wa Lissu ndipo nilipoamini kuwa uprofressor alinunua
Amelikoroga aandae vikombe kunywa uji mbichi
Karma is a bitch karibu mtasema ukweli
Mkubwa huwa hakosei hasa kwa hadhi yake ya uwaziri na uprofesa wake. Tujifunze tu kumuelewa hata kama anachotueleza hatukielewi tumuelewe tu hivyo hivyo.Mara ya kwanza niliamini sijamsikia akisema hivyo. Ikabidi nirudie kusikiliza mara 2 na bila shaka yeyote Prof. umpende usimpende aliyasema maneno hayo. Kitu cha kiungwana akubali tu kama amekosea na aombe radhi (ingawa sio kawaida yetu watanzania). Na kwa mwanasheria nilitegemea angekuwa makini zaidi. Hapa issue ya Mbowe na Sugu haingii kabisa Prof. ameharibu na Dr Abbasi angekaa mbali amuachie aliesema azungumze.
Sasa Kabudi kawa mwanasiasa kwelikweli. Hata anatakiwa kuchunga kauli zake.Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.
Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."
Lakini Prof Kabudi pia amesema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."
Kabudi amesema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."
....who disappeared and died/....who disappeared and who died/....who disappeared OR died....Kidhungu kigumu!Huyo jamaa anaonekana ni mbabaishaji flani hivi!
Nguli gani wa sheria hajui matumizi ya ‘na’ na ‘au’ na implications zake?
Hapo kwenye maelezo yake alipaswa tu kusema kuwa aliteleza kidogo na hakumaanisha kama ilivyopokelewa na watu.
Instead, he’s doubling down on it and blaming others!
Ndo maana baadhi yetu tuliguna na kukuna vichwa vyetu tuliposikia kateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Huyu kweli wa jalalani