Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

waandishi wa habari ndio wanatakiwa wa- develop skills za kuwahoji maprofesa, inaonekana duniani kuna waandiahi wa habari wa chache sana wenye weledi , ujuzi na uwezo wa kuhoji maprofesa vizuri na mjadala ukawa mzuri kwa pande zote. Tumeshuhudia jana Zuhura Yunusi akiwa kabanwa na maelezo ya Prof mpaka kushindwa kuwa na attention nzuri. Yule mwenzake wa BBC FOCUS ON AFRİCA alikuwa anajitahidi kuachana na mjadala ambao mwisho wake ni kuaibika
Bashite hujawahi fauli kwa kitu chochote tangu uzaliwe hata hili ulilolianzisha la kuteka na kuuwa watu utafikia mwisho wake, hutakaa ulee mtoto wako chupa kuweza kwenda chuo kikuu mjinga mkubwa wewe mwenye laana shetani kabudi kasema mwenyewe kapotea na kafa (disappeared and dead) kwa kiingereza tena siyo Azory Gwanda bali Azory Rwanda kwa jinsi alivyo na mihemuko ya kipuuzi kama wewe bashite, koma kabisa wewe mwenye akili za jalalani
 
Nimesikiliza mara kadhaa yale mahojiano yaliyofanyika kwa lugha ya Kiingereza. Nikasikiliza pia alipohojiwa kwa lugha ya Kiswahili. Hakuna mahali prof Kabudi amesema Azory kafa. Sasa nimeamini kwamba ni kweli kuna watu wanatumia kila njia kuichafua serikali na viongozi wa nchi. Ni bahati mbaya sana.
Prof. Kabudi ni kama upanga wa maasai, ukitolewa gharani lazima urudi na damu. kuongea kiprofesa kidogo tu watu chali
 
Tanzania ndio nchi pekee mfanyabiashara mwenye milioni chache anaitwa BILIONEA na mtu ambaye ni goigoi na mbumbumbu wa sheria anaitwa NGULI WA SHERIA. Huyu Profesa ukimsikiliza tu unajua ni mtu mwongo, tapeli, msanii na anayeongea kwa jazba bila ya kufikiri. Huyu si nguli wa sheria bali ni Kibudu wa sheria ambaye yuko radhi kusema chochote ili ashibishe tumbo lake.
 
Swali humu hilo
Amejuaje kama Azory ni marehemu??
Familia wanaweza kwenda mahakamani sasa tuanzie hapa
ICC mpoooooo!?
.
IMG-20190711-WA0070.jpeg
 
Profesa wa Jalalani kachemka,Asitufanye sisi wajinga,akili zake ni kama Jaguar ambaye anatuambia hatukumwelewa wakati tumemskia,Yeye anafikiri huko Ulimwenguni ni kufokafoka kama huku,watu wako makini
 
Nimesikiliza mara kadhaa yale mahojiano yaliyofanyika kwa lugha ya Kiingereza. Nikasikiliza pia alipohojiwa kwa lugha ya Kiswahili. Hakuna mahali prof Kabudi amesema Azory kafa. Sasa nimeamini kwamba ni kweli kuna watu wanatumia kila njia kuichafua serikali na viongozi wa nchi. Ni bahati mbaya sana.
Ni kweli. Hajasema declaratively kuwa Azori kafa.

Ila, kwa maneno aliyoyasema, ameacha mwanya wa kutafsirika kuwa kasema hivyo.

Ni suala dogo sana la kubadilisha tu kiunganishi kilichotumika.
.
IMG-20190711-WA0070.jpeg
 
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.

Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.

Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Kuna mwanasheria anaetokea jalalani?
 
Nimesikiliza mara kadhaa yale mahojiano yaliyofanyika kwa lugha ya Kiingereza. Nikasikiliza pia alipohojiwa kwa lugha ya Kiswahili. Hakuna mahali prof Kabudi amesema Azory kafa. Sasa nimeamini kwamba ni kweli kuna watu wanatumia kila njia kuichafua serikali na viongozi wa nchi. Ni bahati mbaya sana.


Na mimi nilisikikiza hayo mahojiano alipokuwa akihojiwa na Zuhura Yunus, lakini sijasikiliza yale ya kiingereza.

Katika hayo mahojiano prof.kabudi alionyesha (sio mojakwamoja) kwamba huyo muandishi kafa kwakuwa aliunganisha vifo vya wale askari, raia kule kibiti na kadhia ya huyo muandishi Azory, kama ni kadhia moja na hapo ndipo alipotoa nafasi kwa watu kutoa tafsiri zao binafsi.

Na jambo hili ni kawaida kwamba unapoeleza jambo kwa umma "at suspense" unatoa nafasi ya watu kumalizia kile wanachoona kinakubaliana na akili zao na mazingira ya tukio lenyewe.
 
Yeye ndiye anapaswa kurudi darasani kujifunza tofauti ya "disappeared and died" na "disappeared or died".

Kama hawa ndio watu wanaosimamia mikataba yetu, si ajabu tunapigwa changa la macho kila siku.
Una akili sana mkuu, ila ni kwa vile tu huamini kama kuna Mungu
 
Jamaa anaongea kwa kasi, jazba na pupa sana.

Ukimsikiliza kakosea hata jina kataja Azory Rwanda.

Huku katoa mimacho kama mjusi kabanwa na mlango.
Na mate juu. Yule maiki aliyotoka kuongelea nashauri isitumike tena
 
prof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.

mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
Ya kuokotwa jalalani profesa mzima?
 
Ungeeleza kwa nini hakukosea, kwa ushahidi wa maneno aliyotumia, ambayo yapo kwa ushahidi wa video mtandaoni, ningekuona wa maana zaidi.

Sasa hivi naona unapinga kitu bila ushahidi.

Mimi nimeeleza kwamba matumizi yake ya maneno "disappeared and died" yalimaanisha wote aliowaongelea wamekufa, angeweza kutetewa kama angetumia maneno "disappeared or died".

Hujagusa hata kidogo hoja yangu kwa kutumia maneno hayo aliyotumia.

Kwa nini?

1. Wewe ni mvivu tu wa kufikiria, kitabia, na hujui kupinga kitu kwa hoja?
2. Wewe ni mshenzi tu wa tabia unajua kwamba kakosea lakini hutaki kujadili hoja, unapinga kijumlajumla tu?
Mkuu ungekuwa karibu ningekupa balimi bariiiidi kabisa ili upate nguvu ya kumuonyesha upumbavu wake jumla jumla!
 
Kwani clip yake si ipo tu kuna shida gani?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.

Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."

Lakini Prof Kabudi pia amesema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."

Kabudi amesema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."
 
hatumshangai hata Mwakyembe alishasema hatukumuelewa alisema kwenye bunge la katiba alipokuwa anapinga andiko/thethis yake ya Phd juu ya muungano uzuri ni kwamba mambo yakiandikwa hayafutiki.
Huyu nae anasema hatukumuelewa ? labda yeye ndiyo hajielewi ANZORY GWANDA KAUWAWA basi.
1. aKIONGEA kWA JAZIBA huku akipigiwa makofi bwana Magufuli ALIHOJI kwanini wanauwawa wa CCM tu? hapa alimanisha wauaji wale walikuwa wapinzani.
Akiandika humu JINGA LAO alishawahi kuhoji kwann gazeti la mwananchi linakuwa la kwanza kuripoti mauaji ya Rufiji kweli mwandishi AKAUWAWA
AKIONGEA BUNGENI wazir wa mambo ya ndani bwana Lugola alishawahi kusema Gwanda kaenda kutafuta maisha
Tatizo huwa wanaropoka tu ila impact yake ya baadae huwa hawaijui. Na ndio maana wengi wao huishia kukanusha maneno yao wenyewe
 
Back
Top Bottom