Ungeeleza kwa nini hakukosea, kwa ushahidi wa maneno aliyotumia, ambayo yapo kwa ushahidi wa video mtandaoni, ningekuona wa maana zaidi.
Sasa hivi naona unapinga kitu bila ushahidi.
Mimi nimeeleza kwamba matumizi yake ya maneno "disappeared and died" yalimaanisha wote aliowaongelea wamekufa, angeweza kutetewa kama angetumia maneno "disappeared or died".
Hujagusa hata kidogo hoja yangu kwa kutumia maneno hayo aliyotumia.
Kwa nini?
1. Wewe ni mvivu tu wa kufikiria, kitabia, na hujui kupinga kitu kwa hoja?
2. Wewe ni mshenzi tu wa tabia unajua kwamba kakosea lakini hutaki kujadili hoja, unapinga kijumlajumla tu?