Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi we jamaa una akili timamu kweli ?prof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.
mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.
Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.
Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Wakati Dr. Mahiga alipokuwa balozi wa Tanzania UN, aliletewa scandal alitulize na Kikwete.Huyo jamaa anaonekana ni mbabaishaji flani hivi!
Nguli gani wa sheria hajui matumizi ya ‘na’ na ‘au’ na implications zake?
Hapo kwenye maelezo yake alipaswa tu kusema kuwa aliteleza kidogo na hakumaanisha kama ilivyopokelewa na watu.
Instead, he’s doubling down on it and blaming others!
Ndo maana baadhi yetu tuliguna na kukuna vichwa vyetu tuliposikia kateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.
Usiwe mpambe mpaka ujitoe ufahamu na mnao wapamba wanawashangaa, mwenyewe amekiri kuwa alikosea na kusema mahojiano aliyoongea kiswahili ndio yachukuliwe yale ya kiingereza aliongea kitu asichokuwa na uhakika nacho..sasa wewe unatetea nini?prof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.
mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
Ha ha ha ha wakirud najua ntawachinjia wapi Kama upinzani hawataweka mtu ntachagua Hata tofali ligombee tuWatarudi tena 2020 labda si Nec i
Wakati Dr. Mahiga alipokuwa balozi wa Tanzania UN, aliletewa scandal alitulize na Kikwete.
Membe alilikoroga, ilionekana watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Tanzania, wengine wenye hadhi ya kibalozi, wanahusishwa na biashara za silaha na waasi wa Congo.
Membe alihojiwa na BBC, akakataa kijinga, katukatu, kama vile anajua nyendo za watumishi wote wa serikali ya Tanzania.
Kumbe BBC wakati wanamuuliza tayari wana ushahidi mpaka wa text messages za wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.
Kesi akapelekewa Mzee Mahiga aitulize.
Nikawa namsikia anahojiwa na BBC. Kawanzia mbali, anawaeleza historia ya Tanzania kama msuluhishi wa migogoro, akaeleza tuna wakimbizi wengi, akawaeleza kwamba hatuna cha kufaidi ikiwa jirani zetu watapata maafa ya vita, tuna wanajeshi wengi wanalinda amani. Akaulizwa swali la mtegoi, anajua kwamba serikali ya Tanzania inahusika kuuza silaha?
Akajibu kwamba, serikali ya Tanzania haihusiki, ila hawezi kutoa jibu la uhakika kama watu ambao ni wafanyakazi wa serikali wanahusika wao binafsi kama wao si kwa niaba ya serikali, akasema wanaanzisha uchunguzi wa kimataifa kuchunguza na matokeo yatatangazwa.
Sikuisikia hiyo habari tena.
Nilisikia tu Balozi wa Tanzania Burundi karudishwa nyumbani.
Dr. Mahiga kukubali kwamba hawezi kujua kila kitu kuhusu wafanyakazi wa serikali wote sehemu zote muda wote, an unrealistic expectation, kuli defuse issue, ikatoka kwenye habari za serikali ya Tanzania inahusika, kwend kwenye inawezekana wafanyakazi wa serikali ya Tanzania wanahusika kama watu binafsi, uchunguzi unaendelea.
Mtu kama Kabudi anayejifanya anajua kila kitu, ni vigumu sana kukubali kakosea, au hajui kila kitu.
Na hiyo ni weakness, si strength.
Nasikitika sana wamemtoa Dr. Mahiga hapo foreign relations.
Makonda alifanya hivi hivi kwa Mo Dewji na Mengi (RIP). Asubuhi anasema hivi jioni anasema vingine mchana.Waziri amechemka on camera. Maelezo yake yaliacha mwanya kwa watu kuwa na tafsiri sahihi kuwa Aazory Gwanda amefariki.
Kakosea kwanza kwa kusema hivyo, halafu anaendelea kukosea kwa kushindwa kuomba radhi na kukubali kosa, analaumu tafsiri.
we nae ni mpuuzi kuna alichokiongea hakijaeleweka??, na kama yupo hai kwanini hajapatikana??.Hivi Azory alikuwa na uhasama gani na watu mpka wamteke?acha kutoa matapishi katika uhai wa Binadamu mwenzako tena Baba wa familia na mtegemewa wa familia yake. Idiotprof. hakukosea kabisa ila tumewazoea mkitengeneza tafsiri zenu mnapomchukia mtu na natambua Prof anachukiwa kwa nguvu na uwezo alionao katika kujenga hoja.
mlipokosea ni kudhani kwamba prof anaweza kuongea kama Sugu au Mbowe, lazima daima ujue kwamba yule mtu anapoongea anaongea mambo mazito na magumu kwa watanzania wengi kuyaelewa haraka
OMG Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”. How did Palamagamba know that Azory is dead? @CPJAfrica Amnesty https://t.co/EjCrH98MuIWaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.
Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."
Lakini Prof Kabudi pia amesema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."
Kabudi amesema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."
Jamaa anaongea kwa kasi, jazba na pupa sana.
Ukimsikiliza kakosea hata jina kataja Azory Rwanda.
Huku katoa mimacho kama mjusi kabanwa na mlango.
hatumshangai hata Mwakyembe alishasema hatukumuelewa alisema kwenye bunge la katiba alipokuwa anapinga andiko/thethis yake ya Phd juu ya muungano uzuri ni kwamba mambo yakiandikwa hayafutiki.Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda.
Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kimakosa mahojiano yangu kwenye kipindi cha BBC FOCUS ON AFRICA zikidai kuwa nimethibitisha kwamba mwanahabari Azory Gwanda amefariki dunia."
Lakini Prof Kabudi pia amesema bado haijulikani kama Bw Gwanda yungali hai: "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki. Vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti, Pwani yaliyosababisha ama watu kadhaa kupoteza maisha au kupotea."
Kabudi amesema kuwa, kilichotokea ni tafsiri potofu ya kile alishokisema: "Hii sio tafsiri sahihi kuhusu kile nilichokisema. Katika mahojiano hayo nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa ni la kuhuzunisha na wapo watanzania waliouawa na wengine kupotea. SIKUTHIBITISHA kuwa Azory Gwanda amefariki."
Usiwe mpambe mpaka ujitoe ufahamu na mnao wapamba wanawashangaa, mwenyewe amekiri kuwa alikosea na kusema mahojiano aliyoongea kiswahili ndio yachukuliwe yale ya kiingereza aliongea kitu asichokuwa na uhakika nacho..sasa wewe unatetea nini?
unadhani kila mtu anaweza kupotoshwa kwa ulimwengu huu wa utandawazi? Prof. kasema kwamba mlishindwa kumuelewa na kuanza kumtafsiri vibaya lakini wewe unapotosha eti kakiri kukosea. Prof shikilia hapohapo kuna watu wanataka kupima fikra za kiprofesa kwa uzushi na upotoshajiUsiwe mpambe mpaka ujitoe ufahamu na mnao wapamba wanawashangaa, mwenyewe amekiri kuwa alikosea na kusema mahojiano aliyoongea kiswahili ndio yachukuliwe yale ya kiingereza aliongea kitu asichokuwa na uhakika nacho..sasa wewe unatetea nini?