WAZIRI KAIRUKI AFANYA ZIARA YA KIKAZI TANGA
WAZIRI wa Nchi,@ortamisemitz Mhe. Angellah Kairuki leo tarehe 06 Julai 2023 amewasili Wilayani Korogwe mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo. Mhe.Kairuki atakagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Elimu na Afya.
Pia atapokea taarifa ya Mradi wa Zahanati ya Magazini,Makabidhiano ya Miradi na Uzinduzi wa Shule ya Msingi Mnyuzi na Kuzindua vyumba 3 vya madarasa shule ya Msingi Mbeza Mazoezi
WAZIRI wa Nchi,@ortamisemitz Mhe. Angellah Kairuki leo tarehe 06 Julai 2023 amewasili Wilayani Korogwe mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo. Mhe.Kairuki atakagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Elimu na Afya.
Pia atapokea taarifa ya Mradi wa Zahanati ya Magazini,Makabidhiano ya Miradi na Uzinduzi wa Shule ya Msingi Mnyuzi na Kuzindua vyumba 3 vya madarasa shule ya Msingi Mbeza Mazoezi