Uko sahihi. Hata Muhongo hajawahi kuikazania nyukilia. Anajua. Yeye anahamasisha vyanzo vingine, kubwa gesiSidhani kama uko sahihi kwenye hili, uranium kama ilivyo haiwezi kukusaidia kuzalisha umeme, itabidi hiyo uranium isafirishe kupelekwa kwenye nchi zinazo chengenua na kutengeneza FUEL RODS, halafu wakuletee utumie kuzalisha umeme. Na dunia kwa jinsi huo mpango wa fuel road uko sensitive, ni nchi chache sana wanaruhusiwa kufanya hivyo. Hapo hapo hujaweka gharama za kujenga mtambo wa umeme wa nuclear pamoja na gharama za maafa kama iliyotokea India, Russia na Japan
Like. Uko vizuri.Na kipindi cha JK ulihitajika umeme wa dharura Ili kuokoa jahazi na ni kipindi ambacho uchumi ulistawi ghafla na mahitaji ya Umeme yalidabo ndio maana ilihitajika umeme wa dharura japo expensive...
Muhongo hajawahi kusema kuwa umeme wa maji ni ghali au usiendelezwe. Yeye anataka energy mix ya vyanzo vingi vya kisasa, siyo kuweka mategemeo kwenye maji pekee. Kwanza maji hupunguzwa na shughuli-ongezeko za binadamu au ukame.Prof Muhongo yupo Bungeni maana siku kadhaa nyuma nilimsikia kwamba umeme wa gesi ndio wa gharama nafuu na wa uhakika ukilinganisha na huu wa kizamani wa maji.
Imekaa vizuri hiyo.Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana...
Muhongo ni Mtaalamu wa Madini, siyo Umeme. Anachokisema siyo kwa ajili ya taaluma yake. Hana huo utaalamu.Prof Muhongo si aliapa kuwa hatatoa siri za Baraza la mawaziri
Hahahhaha dah... hivi kama kusoma huwezi hata picha huoni... rudi darasani.The cheapest is solar and wind.
Weka link tujioneeNani alikwambia wanafyeka miti yote hiyo wewe?? wanajenga tuta wanaanza kujaza maji yanafunika miti yote hiyo nenda youtube ukaangalie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wamesema mwezi wa nane SGR safari za Dar-Moro zinaanza..Hii ya kujaza bwawa naifananisha na ile hekaya ya kuwa treni ya SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi Nov 2019, ila mpaka leo hola. Kuna ile porojo nyingine ya bomba la mafuta toka Uganda litakamilika Dec 2020, mpaka leo ni kusaini mikataba tu!! Usanii mwingine bana
Hamna hata mtu anawaamini kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wamesema mwezi wa nane SGR safari za Dar-Moro zinaanza..
Nuclear ki mazingira ni hatari zaidi kwakua effect yake ni generational...Belgium waliufinga mtambo wao wa nuclear miaka 5 iliyopita, Japan pia ili pata hasara kubwa sana.Nuclear ni cheaper zaidi..
Maji kuna gharama za mazingira kubwa Sana
Kufyeka heka zote zile utasema hakuna gharama?
Amepima loss yake? Kufyeka heka zaidi ya milioni?
Weka link tujionee
Hizo bei zimepangwa na EWURA?Tusipotoshe umma kwa propaganda mfu.Wakati wa ujenzi wa bomba la gas toka Mtwara tuliambiwa maneno matamu kuwa tatizo la umeme Tanzania limepata muarobaini wake,CCM hii hii leo wanaanza mradi Mpya wa HydoPower wanatulazimisha tuwaamini tena?Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana.
Asema lengo la Serikali ni kutumia vyanzo vyote ili mradi vilete umeme wa uhakika na wa bei nafuu kwa mwananchi
Asema umeme wa maji ndio wa nafuu kuliko vyanzo vingine vyote
Alizitaja gharama za kuzalisha umeme kwa unit kwa shilingi za kitanzania kwa kila chanzo ni kama ifuatavyo:
- Maji ni shilingi 36 kwa unit moja
- Nyuklia ni shilingi 65 kwa unit moja
- Solar na upepo shilingi 103 kwa unit moja
- Makaa ya mawe shilingi 118 kwa unit moja
- Joto Ardhi shilingi 119 hadi 120 kwa unit moja
- Gas shilingi 147 kwa unit moja
- Mafuta mazito shilingi 546 kwa unit moja
Bado mwezi na nusu ifike hiyo Novemba.Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana.
Asema lengo la Serikali ni kutumia vyanzo vyote ili mradi vilete umeme wa uhakika na wa bei nafuu kwa mwananchi
Asema umeme wa maji ndio wa nafuu kuliko vyanzo vingine vyote
Alizitaja gharama za kuzalisha umeme kwa unit kwa shilingi za kitanzania kwa kila chanzo ni kama ifuatavyo:
- Maji ni shilingi 36 kwa unit moja
- Nyuklia ni shilingi 65 kwa unit moja
- Solar na upepo shilingi 103 kwa unit moja
- Makaa ya mawe shilingi 118 kwa unit moja
- Joto Ardhi shilingi 119 hadi 120 kwa unit moja
- Gas shilingi 147 kwa unit moja
- Mafuta mazito shilingi 546 kwa unit moja
We uliamini kelemani aliposema novemba wanaanza kujaza bwawa?Bado mwezi na nusu ifike hiyo Novemba.
Kwani wewe hukuamini mkuu!![emoji23][emoji23]We uliamini kelemani aliposema novemba wanaanza kujaza bwawa?