Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi aende tuHujakosea ndiye yeye,
Porojo tu! Hakuna kitu chochote atakachokifanya. We utasikia kimya tuu! Zaidi zaidi utakujakumsikia tena kwenye kampeni za kuutaka urais.hiyo ishatokea Tanzania sijui una miaka mingapi tizama azimio la Arusha tulichukua vitu vya watu tukalipa mamilloni uwezi kuchukua vitu vya watu wakati watu wana insurance ya serikali iliyopita , tukikosa mpaka sabuni na beer zikawa hakuna
Na ndiko ambako bwana 'Tigwa' alipanda ndege akakaa kwenye seat?
Nimecheka sana Mkuu..Na ndiko ambako bwana 'Tigwa' alipanda ndege akakaa kwenye seat?
Let us wait and see.
Hili limekaa vizuri. Mikataba ya kikoloni au kimangungu haina nafasi tena.
Lakini approach iwe tofauti. Wakae nao na kuwaeleza ukweli huo
tunaweza kulipa fidia huku tukilipwa fedha za uaminifu ili mambo yaishe!Fidia nyingine za kumlipa Muarabu zinanukia
tunaweza kulipa fidia huku tukilipwa fedha za uaminifu ili mambo yaishe!
Kila siku tunauliza humu hivi walioingia hiyo mikataba ya umilikishaji na ubinafsishaji hawapo hapa nchini ama hawajulikani?
Yetu macho...Vipi kuhusu kile kitalu cha Mfalme wa UAE?
Acha tu turudi!! Kwanza hawa OBC waliteketeza kijiji kizima kwa madai kuwa eti hilo eneo la kijiji ambacho kimekuwepo hapo kwa makumi ya miaka kipo ndani ya eneo lao! Tena Kigwa angetupa ruhusa tukawaondoe wenyewe,wametuulia ndugu zetu wengi sana hawa hayawani! Mwarabu ni shetani kabisa!!!!hawa watu wamepata vibari kutoka kwenye serikali kufukuza tu na wana hati miliki sio kitu kidogo , tunarudi kwenye azimio la Arusha inavyoonekana