Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

Ndo kusema kaanza na mfupa uliokula vichwa vya watangulizi wake,
 
Hii ni vita kubwa sana.tumuombee mheshimiwa waziri aishinde.anapambana na watu wenye nguvu sana za kifedha.ni zaidi ya wauza unga hawa jamaa.hakuna waziri aliingia wizara hii akashindwa kubadili maisha yake jumla kwa fedha za kununuliwa .yaani ukiktaa kuchukua hela wewe naibu wako anachukua au katibu au mkurugenzi halafu unahujumiwa mpaka Raisi anakuona wewe fala.ndiyo manaa naiona dhamira ya mheshimiwa kuweka wanajeshi kuanzia katibu mkuu mpaka mwenyekiti wa TANAPA
within the confines ofnthe law!
 
Kama ni kweli nitamuunga mkono Kigwangala, nilishangaa sana jamaa walisaini mkataba wa miaka 90 kama siyo ukuda ni kitu gani....

Viongozi wa ccm kweli walikuwa wakuda
 
Waziri wa Maliasili asili na utalii Mh. Kigwangala akiwa katika ziara yake wilayani Ngorongoro pamoja na kuagiza kuvifuta vibali vyote vya uwindaji nchi nzima ikiwamo vya kampuni ya ORTELLO BUSINESS CORPORATION (OBC) ya Loliondo, ameagiza kampuni hiyo ya MWARABU kujiandaa kurudi walikotokea, kwasababu hata kama wakibaki mchakato mpya wa ugawaji vitalu vya uwindaji utakapoanza hautawahusu.

Ikumbukwe kampuni ilipewa eneo hilo miaka ya 1990 kwa mkataba wa miaka 99.View attachment 618635

Kwa hili na mpongeza Waziri
 
Issue ni kukaa naye. Aelezwe kuwa upo mkataba lakini siyo fair. Inawezekana. Tukienda kiubabe, we will pay dearly!
sawa kabisa. Unakaa na mtu kuwa jamani hapa ulinichota akili, basi turekebishe ili watu wangu wapate chumvi ya mboga. Mwungwana atasikia hoja yako ambayo ni quite genuine.
 
tuwe wakweli tumenyanga mashamba ya watu majumba mashuke msikiti mahospital makanisa , kikwapi bado maskini uwezi kuchukuwá vitu vya watu wamepewa na chama tawala , pay back nothing for free , hayo mambo yalipita na hawamu ya kwanza tukawa hata beer hatuna tunarudi tena huko
 
haya mambo yashatokea zaamani miaka ya 70 azimio la Arusha , tukapigwa vita tukawa hatuna hata sabuni , tunarudi tena kwenye mambo hayo uwezi kuyanganya vitu vya watu wakati walipewa na serikali ya ccm ?. mwishowe tutakwenda mahakamani kulipa fidia kesho wanaweza kuchukua mali za wafanya biashara za wazalendo
Ukiwa huna cha maana cha kuchangia wakati mwingine mtu ukae kimya tu usome maoni ya wenzako ya kizalendo. Umenitia hasira bure. Eti kushitakiwa..... nilitaka nikut....sheria imenibana.
 
Ninavo fahamu hawa jamaa akishuka tu KIA wanalipa landing charges na pia wanalipa landing charges za loliondo strip.
Na wakifika hulipa Tanapa sio chini ya $100,000 kila trip
Loliondo yenyewe wanalipa land taxes.
Wamewekeza visima vya maji kila kilomita moja ukitoka ndani eneo
Tuache uchoyo....hao watu wa vijiji hawakuwepo mpaka walipo shawishiwa na wana siasa ambao wanalitaka wao hilo eneo kwa faida binafsi zaidi
 
Hawa Waarab wa Ortello watamkimbilia fasta Mzee Kinana, sbb mzee Kinana ndio rafiki yao mkubwaaaa.. So i believe, wananchi sasa wamepata Mkombozi Mh Rais wetu JPM, na hawa waarabu wa OBC wataondoka haraka sana, wamechuma vya kutosha.. Najua kwa hili Mzee Kinana atawaambia wazi TIME HAS CHANGED kuwa waondoke tu, mm ni CCM 100% ila inabidi tukosoane na kunyoosheana vidole na kurekebishana ili nchi yetu iende mbele, OBC waondoke haraka plz... Hongera Mh. Kigwangala sana sana...
 
tuwe wakweli tumenyanga mashamba ya watu majumba mashuke msikiti mahospital makanisa , kikwapi bado maskini uwezi kuchukuwá vitu vya watu wamepewa na chama tawala , pay back nothing for free , hayo mambo yalipita na hawamu ya kwanza tukawa hata beer hatuna tunarudi tena huko
Kabla huja post jitaidi ku edit Post yako.
 
Watu wanazunguka tu ila kuna jambo halisemwi. Hii issue inahitaji akili na sio siasa.
 
Hao jamaa wamepata eneo hilo kihalali.
Na wanalipa fedha nyingi.
Hili ni eneo la mbuga za wanyama sio la kulima.
Sasa hivi kuwapo kwao kumesaidia sana kuhifadhi wanyama na mazingira.
Ndo maana Mkapa aliwapa na aliwatetea sana kuwa lato lao ni muhimu kuliko lingeachwa kwa poachers na wavamizi.
Wenyewe wanakuja mara chache kwa mwaka.
Kampeni hizi zilianza ki udini ..kwanini apewe mwarabu....angekua mzungu isinge kuwa noma.
Wana vijiji wamepata misaada mingi sana kama shule maji na hospital..
Na wanalipa kodi...
Kuwaondoa haileti faida yoyote ile zaidi ya furaha ya nafsi za uchoyo
kibaraka mpumbavu
 
Kesi nyengine mahakamani,kakodishwa miaka 99 lakini hafla tu anafukuzwa wakati ameshawekeza...,Serikali ingemsikiliza Lisu ingekuwa rahisi sana kwa serikali kuwaondoa hawa watu,,sasa tusubiri mahakama za kimataifa kuingilia kati...
 
Waziri wa Maliasili asili na utalii Mh. Kigwangala akiwa katika ziara yake wilayani Ngorongoro pamoja na kuagiza kuvifuta vibali vyote vya uwindaji nchi nzima ikiwamo vya kampuni ya ORTELLO BUSINESS CORPORATION (OBC) ya Loliondo, ameagiza kampuni hiyo ya MWARABU kujiandaa kurudi walikotokea, kwasababu hata kama wakibaki mchakato mpya wa ugawaji vitalu vya uwindaji utakapoanza hautawahusu.

Ikumbukwe kampuni ilipewa eneo hilo miaka ya 1990 kwa mkataba wa miaka 99.View attachment 618635

Wewe mleta mada ni mbaguzi sasa kuweka mwarabu kwa herufi kubwa ili iweje,kwanini usisema mwekezaji tu tungelifahamu...
 
Huyo mwarabu ndo tunaambiwa huku JF kuwa hilo eneo lake ana mtandao binafsi wa simu?
Na hii ishu ndo iliondoa uhai wa Stan Katabaro?
pasco
Stan Katabaro my best Tanzanian investigative journalist...!!
Nilikuwa sikosi gazeti la Mfanyakazi kufuatilia Loliondo gate...!!
Siku moja na nafikiri inakaribia ambapo mchango wake wa kufichua mikataba ya kifisadi utakumbukwa na kuenziwa.
 
kibaraka mpumbavu
Na hawata ondoka kwa chuki binafsi za udini.
Hata huyo kingwangada atapigwa stop hajui taifa linanufaika vipi na taxes za hawa jamaa.
Hao makelele yenu ya kichaga Rais hawezi kuyasikiliza.
Anafahamu kuwa mnataka poachers wavamie hilo eneo .
 
Back
Top Bottom