Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Tupo Tayari kumpa ushirikiano atakaouhitaji!kwa walichokifanya hao waarabu kwa kushirikiana na viongozi wa ccm waliopita hata hawakustahili kutoka wakiwa hai!!Hapa tuwe wazalendo, tu fight for our natural wealth, sio kusema tuone kama wazir ataweza kuwafukuza, tumuunge mkono ndio tutapata mafanikio,