Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Jina langu ni Thomasi lakini siyo yule mwanafunzi wa Yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni WORKSHOP za kuunganisha magari. Sio viwanda. Ni karakana tu za kuunganisha magari waziri aache kujimwambafai na kutuongopea.Kuna viwanda au garage 13 za magari?
Sifa mojawapo ya kiwanda lazima kiwe na process za uzalishaji (manufacturing).No bora angetutajia majina ya hivyo Viwanda 13 ili badala ya kununua Bidhaa za Nje tununue zetu za humu humu.
Cha muhimu ni Ajira kwa Vijana wetu Ndugu.Sifa mojawapo ya kiwanda lazima kiwe na process za uzalishaji (manufacturing).
Hawa wanaofanya assembly hawakidhi vigezo vya kuitwa viwanda. Badala yake wanaitwa karakana (workshop).
Ajira zipi wakati 95% ya process zinafanywa nje ya nchi. Hapa wanaongezea tu iyo 5% kwa kufunga bolts na nuts na kujaza matairi upepo.Cha muhimu ni Ajira kwa Vijana wetu Ndugu.
Kwahiyo hao wanaomalizia kutengeneza ni Mapepo au ni Watanzania?!Ajira zipi wakati 95% ya process zinafanywa nje ya nchi. Hapa wanaongezea tu iyo 5% kwa kufunga bolts na nuts na kujaza matairi upepo.
Leta voice tusikie wote. Nashindwa ku comment kwa hiyo caption pekee. Dr Ashatu Kijaju ni kati ya Mawaziri makini sana kwenye kazi zaoTaarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13
Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
View attachment 2995903
Kuna cha Masud kipanya😁😁Nadhani hicho kitakuwa cha kwanza
Yani kama gari linauzwa milioni mia, milioni 95 inazalishwa nje na milioni 5 ndio inazalishwa nchini. Hii local content ni kidogo sana.Kwahiyo hao wanaomalizia kutengeneza ni Mapepo au ni Watanzania?!
Nimeongelea Ajira wanazopata Vijana wetu kwenye hiyo Process na Kodi inayoenda Serikalini sio HABA.Yani kama gari linauzwa milioni mia, milioni 95 inazalishwa nje na milioni 5 ndio inazalishwa nchini. Hii local content ni kidogo sana.
Unamfahamu?Leta voice tusikie wote. Nashindwa ku comment kwa hiyo caption pekee. Dr Ashatu Kijaju ni kati ya Mawaziri makini sana kwenye kazi zao
Mapambio ya kusifu na kuabudu yanaendekea. CCM kwa upuuzi hawajambo. Hizo gereji za wachina zenye kugeuza wananchi manamba nazo ni za kusifia kweli?.Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13
Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
View attachment 2995903
Huyu alitakiwa apewe sekta ya umbea na udaku tuHuyu mama kafunikwa kabisa na Tumbiri
Yaani kwenye media Kafulila Ndio Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Tunavyo na viwanda vya helikopitaTaarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13
Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
View attachment 2995903
Ukiona waliojifunika hivyo,kimbiaTaarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13
Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
View attachment 2995903
Porojo kama porojo!sasa kama macho huna mimi sihusiki