Waziri Kinyasu: Watalii wanatupigia simu wamechoka kufungiwa ndani huko Ulaya wanataka kuja Tanzania kupumzika

Tanzania ni km maji

Kenyatta ajifunze hapa, Mabeberu yanatamani kuja Tanzania halafu wala makande wa garisa na machakozi wanafunga mipaka
Mabeberu sisi ndio tunawataka kwa udi na uvumba walete pesa tuokoe uchumi wetu dhaifu uliotengenezwa na ccm kwa miaka 60.

Miaka 60 huwezi kulipa mishahara kwa pesa za ndani, ajabu.
 
Leo British Airways imeruka kuwarudisha Waingereza kwao.
Hamna mtu atakaye raia wake wafe, kauli ya BASHITE ya kutaka kufungulia madisco no kauli ya kiuuaji wa kimbari
 
Mtawapima kwa vipimo hivihivi vilivyosema kuwa kwale ana Corona?
 
Ukipima leo ukawa huna corona ndo kuwa hutapata tena hiyo corona?au watakuwa wakipimwa kila siku?

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Toka corona ianze miezi minne iliyopita kuna wafanyakazi hawajalipwa?
Mabeberu sisi ndio tunawataka kwa udi na uvumba walete pesa tuokoe uchumi wetu dhaifu uliotengenezwa na ccm kwa miaka 60.

Miaka 60 huwezi kulipa mishahara kwa pesa za ndani, ajabu.
 
Hivi huu ulaghai unaongozwa na jiwe unawasaidia nini.Yaaaan jiwe kaharibu nchi na kaharibu mbongo za watu kila mtu amemfanya zombie ndani ya chama na serikali.Ataacha legacy Mbovu sn ya kuaaddicted na sifa za uongo
 
MKUU VP MBONA MKEMIA MKUU AMESEMA UPULIZIAJI DAWA NI KWA AJILI YA MENDE NA KOROBOTO HI YA KANYAU NI IPI.VP WAGENI HAWATAPIMWA? KM HAWATAPIMWA NINI HATIMA YA WAFANYAKAZI.
 
Pelekeni ndege mkawachukue, unatuambia sisi ili iweje, mbona tunaomba data za maambukizi ili tujue kama tunaweza kuwaruhusu watoto wetu waliopo nje waje likizo mmegoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watalii wakitoka Tanzania wakirudi kwao wajiandae na 14 days isolation na swabs za puani kupimwa corona.
 
utakuta wazungu wawili [emoji23][emoji492]

Mkulima wa mahindi
 
Hii serikali mapato ya Utalii yanaichanganya sana.
 
Mnaongea nao lugha gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…