Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Mabeberu sisi ndio tunawataka kwa udi na uvumba walete pesa tuokoe uchumi wetu dhaifu uliotengenezwa na ccm kwa miaka 60.Tanzania ni km maji
Kenyatta ajifunze hapa, Mabeberu yanatamani kuja Tanzania halafu wala makande wa garisa na machakozi wanafunga mipaka
Miaka 60 huwezi kulipa mishahara kwa pesa za ndani, ajabu.