Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi ameitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuandaa Daftari la Faida litakaloonesha kazi na shughuli za Serikali zilizofanyika katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kabla ya Oktoba 2025, kipindi cha uchaguzi mkuu.
Akizungumza na watendaji wa ofisi hiyo leo Machi 14, 2025 Jijini Dodoma, Waziri Lukuvi amewataka kutumia ubunifu na kila njia kuhakikisha taarifa za utekelezaji wa miradi na mafanikio ya Serikali katika kila eneo la nchi zinasema na kusikika kwa wananchi wote kwa kuwa ni haki ya wananchi kufahamu Serikali yao imefanya nini.
“Sasa wananchi wale tunatarajia watamuunga mkono Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi ambazo amezifanya katika kipindi chake cha uongozi…hiki kipimdi cha kwanza lakini wananchi watazijuaje?. Nafahamu wanajua kwa kuwa kazi hizi zimefanyika kila mahali vijijini wiliayani na mikoani lakini sisi ofisi ya waziri Mkuu tunalojukumu la kuziunganisha hizo kazi na kuwaambia wananchi kwa uhakika”. amesema Waziri Lukuvi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi ameitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuandaa Daftari la Faida litakaloonesha kazi na shughuli za Serikali zilizofanyika katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kabla ya Oktoba 2025, kipindi cha uchaguzi mkuu.
Akizungumza na watendaji wa ofisi hiyo leo Machi 14, 2025 Jijini Dodoma, Waziri Lukuvi amewataka kutumia ubunifu na kila njia kuhakikisha taarifa za utekelezaji wa miradi na mafanikio ya Serikali katika kila eneo la nchi zinasema na kusikika kwa wananchi wote kwa kuwa ni haki ya wananchi kufahamu Serikali yao imefanya nini.
“Sasa wananchi wale tunatarajia watamuunga mkono Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi ambazo amezifanya katika kipindi chake cha uongozi…hiki kipimdi cha kwanza lakini wananchi watazijuaje?. Nafahamu wanajua kwa kuwa kazi hizi zimefanyika kila mahali vijijini wiliayani na mikoani lakini sisi ofisi ya waziri Mkuu tunalojukumu la kuziunganisha hizo kazi na kuwaambia wananchi kwa uhakika”. amesema Waziri Lukuvi