Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

Wahusika wameshastaafu,mpaka juzi Rais kateua kamishna mwingine,na umeona remarks zake wakati wa kumuapisha
Halafu hilo ni eneo moja tu,kuna mabomu huko ardhi unaweza kulia
Sofia Simba kamilikishwa pwani yote ya kusini mashariki kuanzia Gomvu kwenda kusini karibu kilometa 50 za beach,zote zake
Serikali inakosa mapato,kila anaetaka kuweka hoteli akiweka GPS akienda wizarani anaambiwa pana mtu!
Kama kuna rushwa,akistaafu ndio kesi imeisha haguswi?Mimi naona hapa kuna jambo halijakaa sawa!
 
Kama kuna rushwa,akistaafu ndio kesi imeisha haguswi?Mimi naona hapa kuna jambo halijakaa sawa!
Ni heri kuchukua ardhi yako na kuachana nao tu,ingekuwa wameiba hela wangetemeshwa na mahakamani wangeenda,lakin ardhi haifichiki ni ku revoke makaratasi tu
 
Nenda wizarani kwa majibu sahihi
Hiyo Taarifa Sijaelewa hizo ekari 715 zilikua zinamilikiwa na Quality Group kupitia international Village Ltd

Zimefikaje mikononi Mikononi mwa Halmshauri kupitia Wizara ya Ardhi ??
Quality Group Wamepokonywa ?? Wameuzia Serikali ??
Ufafanuzi Tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee atakuja kulipa very high prices kwa roho mbaya yake na dhulma kubwa anafanya kwa kutumia cheo chake....unless akae milele ktk hicho cheo ila atakuja juta huo ubabe wake utamtokea puani tu mtashangaa
IMG-20200217-WA0103.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hii Katiba haitufai.
... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yoyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.

In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania. Yaani linapokuja suala la umiliki wa ardhi yeye ndiye ALFA na OMEGA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikariri , kuna makosa na tarifa yako
Sheria ya ardhi na 2,soma sambamba na sheria ya vijiji na 5,ni makosa kwa mtu binafsi au taasisi kumilikishwa ZAIDI YA EKARI 50 bila ya kupata kibali cha Rais
Hizo ekari 700 Manji alipewa na wizara kwa kushirikiana na manispaa ya Temeke,hiyo kuifanya ardhi hiyo kuwa ni haramu kisheria
Ardhi ikibainika kuwa ilihalallishwa kiharamu,serikali inawajibu wa kuitwaa na kuigawa upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui sheria , hakuna kitu kama hicho
Kasome sheria namba 2 sambamba na namba 5 ya kijiji
Ni kosa kwa mtu au taasisi kumilikishwa zaidi ya ekari 50,bila ya kupatabkibali cha Rais
Huyo Manji alimwaga mpunga akaishia wizarani akapewa ardhi enzi hizo
Kisheria,chochote halali kilichopatikana haramu kinageuka kuwa haramu,without prior notice!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom