Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hapana bana, Dotto James ndiyo anaweza kutia wepesi.Mwambieni mzee Marando awafanyie mpango!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bana, Dotto James ndiyo anaweza kutia wepesi.Mwambieni mzee Marando awafanyie mpango!
Kama kuna rushwa,akistaafu ndio kesi imeisha haguswi?Mimi naona hapa kuna jambo halijakaa sawa!Wahusika wameshastaafu,mpaka juzi Rais kateua kamishna mwingine,na umeona remarks zake wakati wa kumuapisha
Halafu hilo ni eneo moja tu,kuna mabomu huko ardhi unaweza kulia
Sofia Simba kamilikishwa pwani yote ya kusini mashariki kuanzia Gomvu kwenda kusini karibu kilometa 50 za beach,zote zake
Serikali inakosa mapato,kila anaetaka kuweka hoteli akiweka GPS akienda wizarani anaambiwa pana mtu!
Ni heri kuchukua ardhi yako na kuachana nao tu,ingekuwa wameiba hela wangetemeshwa na mahakamani wangeenda,lakin ardhi haifichiki ni ku revoke makaratasi tuKama kuna rushwa,akistaafu ndio kesi imeisha haguswi?Mimi naona hapa kuna jambo halijakaa sawa!
Yanga tayari wana uwanja ndani ya kariakooKwa hiyo yanga uwanja wao umekwenda na maji?
Kwani eneo hilo na Uwanja wa Yanga alioutoa Mbabe Bashite umo ndani ya hilo eneo la Manispaa?Kwa hiyo yanga uwanja wao umekwenda na maji?
Ule ni uwanja au dampo?!Yanga tayari wana uwanja ndani ya kariakoo
Kaunda international stadium
We utakuwa simba weweUle ni uwanja au dampo?!
Mimi kandambili bhana!We utakuwa simba wewe
Hiyo Taarifa Sijaelewa hizo ekari 715 zilikua zinamilikiwa na Quality Group kupitia international Village Ltd
Zimefikaje mikononi Mikononi mwa Halmshauri kupitia Wizara ya Ardhi ??
Quality Group Wamepokonywa ?? Wameuzia Serikali ??
Ufafanuzi Tafadhali
Kweli kabisa, Kuna watu watarudi tu kudai vyaoKuna awamu inazalisha kesi kwa nguvu na kuna awamu itakuja kulipa gharama za awamu nyingine. Sheria haina makengeza
Hata akifafanua we Sahv huwez kuelewaFafanua hoja yako mkuu
Watarudi kutoka wapi bwashee?!
Watarudi kutoka walipo kwani Mzungu wa kukamata Ndege alirudi kutoka wapi?Watarudi kutoka wapi bwashee?!
... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yoyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.
In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania. Yaani linapokuja suala la umiliki wa ardhi yeye ndiye ALFA na OMEGA.
Sheria ya ardhi na 2,soma sambamba na sheria ya vijiji na 5,ni makosa kwa mtu binafsi au taasisi kumilikishwa ZAIDI YA EKARI 50 bila ya kupata kibali cha Rais
Hizo ekari 700 Manji alipewa na wizara kwa kushirikiana na manispaa ya Temeke,hiyo kuifanya ardhi hiyo kuwa ni haramu kisheria
Ardhi ikibainika kuwa ilihalallishwa kiharamu,serikali inawajibu wa kuitwaa na kuigawa upya.
... kwa kuwa marais wetu nao ni binadamu wana feelings na utu ndio maana hawawezi kufanya unyama wa kiwango hicho. Ila akitokea "mwendawazimu" sheria zetu zimempa mamlaka hayo.
Kasome sheria namba 2 sambamba na namba 5 ya kijiji
Ni kosa kwa mtu au taasisi kumilikishwa zaidi ya ekari 50,bila ya kupatabkibali cha Rais
Huyo Manji alimwaga mpunga akaishia wizarani akapewa ardhi enzi hizo
Kisheria,chochote halali kilichopatikana haramu kinageuka kuwa haramu,without prior notice!
Lete kilichopo tukione usibishe tu kwa maneno