Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana hiiiKutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
watz tunafeli wapi?kila kitu kikitokea ni kutumbuliwa.kwa hiyo waache mambo yaende holela kwa kuogopa watoto wa wakubwa!baadaye likitokea janga kutokana na ujenzi holela utasikia waziri ajiuzulu.ifikie mahali sasa viongozi wetu wasiwasikilize sana watu sabau hawana uelekeo.watz ni bendera fuata upepo.huku wapo kule wapo ndo maana hata vyombo vyetu vya habari vinaandika habari kwa kufuata upepo.hata lets say leo jaribu pitia magazeti yetu yote yana stori zinazofanana.Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Tunyweni biaNi hatari sana kiusalama vituo vya mafuta kujengwa karibu karibu, ikitokea ajali ya moto kituo kimoja moto ukishika kituo kingine mji mzima unateketea kwa moto, asante sana waziri Mabula kusitisha vibali kwa kufanya tathmini.
Toka Junction ya NMB/Uhuru Towers hadi Bagamoyo round about, nimehesabu sasa hivi vituo viko 45, na kama kuna nilivyosahau basi jumla kwa vyovyote havizidi 50.Kutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
Msaidizi wake ni mmiliki mwenza wa vituo vya mafuta kadhaa ndio tatizo linapoanziaHuenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Tabu huku mitaani, ila main roads haina shida, kingine wanajenga tu bila kuzingatia umbali unaotakiwa kati ya vituo na makazi.Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Hawa watu wana nguvu ya kufanya watakavyo. Fikiria kuna mtu anajenga katikati hifadhi ya barabara ya njia nane pale Kimara Stopover hakuna anayemuuliza.
Wamesogeza Huduma kwa WananchiKutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
Mkuu unakuta watu wanahoji faida ya mwekezaji wakati haimhusu yeye mwenyewe unakuta hana ajira🤔Wamesogeza Huduma kwa Wananchi
kunamuandaa mapema kushika hatamu 2030.Anatafutiwa sababu ili mtoto pendwa apandishwe
watu walikula kichwa mzee... 😀 😀Lukuvi arudi ili mambo yanyooke.
Asalalee!Kutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200