Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

Mzee amechoka apumzike mwenyewe before hajatumbuliwa,Uongo huweza kusemwa na yeyote hasa wanasiasa wa Tanzania,lakini kama yaliyosemwa na kiongozi wa mawaziri ni sahihi.Hakuna cha zaidi isipokuwa maamuzi tu.
 
Alinifukuza chuo huyu akafanya nihamie bara lingine kabisa . Naamini zamu yake nae imefika kuishi kama shetani.

[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG].
Du, alikufanyia nini mtu wangu mpaka ukahama Bara? Pole sana.
 
Due! Hatari sana hii
 
Usitusumbue shenzi weye, nani kamtuma huyo rais wako kuwapatia uwaziri watu ambao walishawàhi kutumburiwa na serikali zilizopita? Na bado wapo wengi tu na wale madalali ya escrow
 
Umetisha..kama vile ulikua ukimchungulia Faru John all the time
Mkuu inauma sana kuona rasilimali za taifa letu zikimalizwa na majangili kama Maghembe.
 
"....Barani Afrika sio muhimu sana kwa kiongozi kuwa makini, waafrika tumejifunza kudharau mambo muhimu na kushangilia kauli za viongozi hata kama hazina maana..."
Koffi Annan 2014
Africa Journal
 
Inasikitisha kuona serikali ya CCM ikiendelea kulamba matapishi yale yale ya siku zote.
 
Ha ha ha ,anaendaga na siku akienda lazima kick. Anatembea mita 200 anasevu million mia.
Nchi ya kusadikika...Mimi natembea kilomita 5 nasevu mia sita shilingi
Mkuu umenifurahisha , yaani nchi hiii imejaa unafiki wa kiwango cha PhD maana tunafanywa kama cc ndezi. Tunapiga makofi na wao - wanajilipa mapesa mengimengi huku tukifa njaa.
 
Naomba nitaje mawaziri na manaibu waziri ambao hawafai haswa japokuwa wote hawafai:
1. Mwigulu nchemba: huyu kwanza ndiye muuaji wa kwanza na hustoria yake inamuhukumu kuwa yeye ni suspect wa mauaji yote yenye utata yanayotokea kwa wanasia.
2. Prof Jumanne Maghembe: Huyu ni mpiga dili na ni miongoni mwa mawaziri mizigo tangu zamani.
3. Prof Sospeter Muhongo : nikili kuwa huyu ni mbunge wangu na kabila moja na Mimi lakini kama mnavyojua suala la escrow linamuhusu sana na hasa pale alipojibadilisha kuwa dalali wa dili la escrow ofisini kwake.
4. Nape Nauye: Huyu hana dhamira ya kuendeleza michezo, utamaduni na habari bali yupo kufuta haki ya kupata habari kwa watanzania.
5. Hamis Kigwangala; Huyu mwenyewe anapenda masifa kila siku, nk.
 
Alinifukuza chuo huyu akafanya nihamie bara lingine kabisa . Naamini zamu yake nae imefika kuishi kama shetani.

[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG].
Mkuu shukuru ulikuwa na uwezo wa kwenda bara jingine, huyu mtu hovyo sana, mwenyewe niliponea chup chup.
 
Mpalakugenda, pori letu la Liparamba Faru wapo lakini siunajua pale Lumeme tumewekewa kibao kinasomeka Akiba la hifadhi la wanyama pori sisi tunatunza tuu ila haaaaa kila naiti Landrover zinaondoka na maliasili yetu Liparamba yangu basi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…