Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

FB_IMG_1482597322287.jpg

Majaliwa hajampa bado pasi mkuu, japo anaisubiria kwa hamu sana.
 
Vipi kuhusu huyu wazili............aliye sema walio uawa ni wasomalia nasakata lakupotea Ben sa8 yeye hana dalili zakutumbuliwa.mmhhh!!! Faru john naona Yuko juu kuliko binadamu.
 
Kuna kila dalili kwamba Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amekalia kuti kavu, tena kavu kwelikweli.

Sakata la kuuzwa kwa faru John na kisha yeye kubariki uuzwaji huo ni udhaifu mkubwa sana na kigezo tosha cha kumfanya aondolewe kwenye nafasi yake ya sasa. Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, inasemekana faru huyo aliuzwa kwa thamani ya Tsh milion 200, ambapo wauzaji walitanguliziwa malipo ya Tsh milioni 100. Waziri mkuu hawezi kusema uongo. Ni dhahiri anazo taarifa za uhakika za kiintelejensia kwamba faru ameuzwa kwa bei hiyo ya kutupwa. Ndio maana wahifadhi wanashindwa kuonyesha kaburi lake lilipo kama kweli mnyama huyo wa porini alikufa.

Sintofahamu hii inakolezwa zaidi na Maghembe mwenyewe aliyediriki kumdanganya Waziri Mkuu, kwa kushirikiana na wezi wenzake, kwamba faru yule 'amekufa' huku akijua kwamba anasema uongo. Kwa sababu hizi, pamoja na sababu nyingine ambazo bado hazijawekwa wazi ili kumtumzia heshima profesa huyu, kuna kila dalili kwamba huenda Rais, Dr Joseph Pombe akatengua uteuzi wake kabla hajamaliza faru wetu.

Ikiwa waziri mwenye dhamana ya kulinda rasilimali zetu, ama kwa kujua au kwa makusudi, ameamua kushirikiana na majangili kufilisi rasilimali zetu kuna haja gani ya kuendelea kukalia kiti cha uwaziri? Kwa dhati kabisa bila unafiki wowote, mimi namuunga mkono Rais Pombe katika utumbuaji huu. Ifike wakati kila mtu aheshimu rasilimali za taifa kwa manufaa ya watanzania wa sasa na vizazi vijavyo.

Mungu mbariki Rais wetu, Mungu wabariki watanzania, Mungu bariki rasilimali zetu za Taifa. Amen.

[HASHTAG]#bringbackourrhinoalive[/HASHTAG]
Maelezo yako yamekaa kuchochezi chochezi
Mkuu wa Wilaya anakutafuta mie simo
 
Unaweza kuthibitisha habari zako kwa jamii kuwa waziri anahusika na wizi?
Hayo madai yenu kwamba Huenda Faru John amekufa kutokana na sababu mbali mbali mnaweza kuithibitishia jamii kwa kutuonyesha kaburi lake,,,,,?
 
Alinifukuza chuo huyu akafanya nihamie bara lingine kabisa . Naamini zamu yake nae imefika kuishi kama shetani.

[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG].
Ulifanya kosa gani Mkuu??
 
Mama yake mdogo le mutuz aliongoa ukweli wakamfukuza huyu kaongea uongo wanamuacha sijui hii ni serikali awamu ya 5 ni matatizo tu mara rambirambi mara pesa za wahanga kununua ndege mimi sijui tu hapa kwetu Arusha ccm hawatapata chochote.


swissme
Arusha CCM huwa ipo?
 
Wewe unaamini kuwa wanayama wote huko mbugani huwa wanazikwa... tuonyeshe hata kaburi moja.. mnyama akifa anaachwa mzoga wake usaidie kuwa chakula ya wengine na kuendeleza ecology, unadhani fisi na tai wange ishi vipi kama mizoga inazikwa. Hakuna kaburu la John Faru.
Wanatakiwa wawinde
 
Hivi kama John mzima mzima aliuzwa 200m je pembe zake zitakuwa bei gani,,,,,? Mbona naona kama hii biashara hailipi,,,,,?
 
atatumbuliwa vipi wakati rais alitumia muda mrefu kufikiri na kuwachagua mawaziri wake?
 
Kuna kila dalili kwamba Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amekalia kuti kavu, tena kavu kwelikweli.

Sakata la kuuzwa kwa faru John na kisha yeye kubariki uuzwaji huo ni udhaifu mkubwa sana na kigezo tosha cha kumfanya aondolewe kwenye nafasi yake ya sasa. Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, inasemekana faru huyo aliuzwa kwa thamani ya Tsh milion 200, ambapo wauzaji walitanguliziwa malipo ya Tsh milioni 100. Waziri mkuu hawezi kusema uongo. Ni dhahiri anazo taarifa za uhakika za kiintelejensia kwamba faru ameuzwa kwa bei hiyo ya kutupwa. Ndio maana wahifadhi wanashindwa kuonyesha kaburi lake lilipo kama kweli mnyama huyo wa porini alikufa.

Sintofahamu hii inakolezwa zaidi na Maghembe mwenyewe aliyediriki kumdanganya Waziri Mkuu, kwa kushirikiana na wezi wenzake, kwamba faru yule 'amekufa' huku akijua kwamba anasema uongo. Kwa sababu hizi, pamoja na sababu nyingine ambazo bado hazijawekwa wazi ili kumtumzia heshima profesa huyu, kuna kila dalili kwamba huenda Rais, Dr Joseph Pombe akatengua uteuzi wake kabla hajamaliza faru wetu.

Ikiwa waziri mwenye dhamana ya kulinda rasilimali zetu, ama kwa kujua au kwa makusudi, ameamua kushirikiana na majangili kufilisi rasilimali zetu kuna haja gani ya kuendelea kukalia kiti cha uwaziri? Kwa dhati kabisa bila unafiki wowote, mimi namuunga mkono Rais Pombe katika utumbuaji huu. Ifike wakati kila mtu aheshimu rasilimali za taifa kwa manufaa ya watanzania wa sasa na vizazi vijavyo.

Mungu mbariki Rais wetu, Mungu wabariki watanzania, Mungu bariki rasilimali zetu za Taifa. Amen.

[HASHTAG]#bringbackourrhinoalive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#bringbackbensananealive[/HASHTAG]
 
Kuna kila dalili kwamba Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amekalia kuti kavu, tena kavu kwelikweli.

Sakata la kuuzwa kwa faru John na kisha yeye kubariki uuzwaji huo ni udhaifu mkubwa sana na kigezo tosha cha kumfanya aondolewe kwenye nafasi yake ya sasa. Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, inasemekana faru huyo aliuzwa kwa thamani ya Tsh milion 200, ambapo wauzaji walitanguliziwa malipo ya Tsh milioni 100. Waziri mkuu hawezi kusema uongo. Ni dhahiri anazo taarifa za uhakika za kiintelejensia kwamba faru ameuzwa kwa bei hiyo ya kutupwa. Ndio maana wahifadhi wanashindwa kuonyesha kaburi lake lilipo kama kweli mnyama huyo wa porini alikufa.

Sintofahamu hii inakolezwa zaidi na Maghembe mwenyewe aliyediriki kumdanganya Waziri Mkuu, kwa kushirikiana na wezi wenzake, kwamba faru yule 'amekufa' huku akijua kwamba anasema uongo. Kwa sababu hizi, pamoja na sababu nyingine ambazo bado hazijawekwa wazi ili kumtumzia heshima profesa huyu, kuna kila dalili kwamba huenda Rais, Dr Joseph Pombe akatengua uteuzi wake kabla hajamaliza faru wetu.

Ikiwa waziri mwenye dhamana ya kulinda rasilimali zetu, ama kwa kujua au kwa makusudi, ameamua kushirikiana na majangili kufilisi rasilimali zetu kuna haja gani ya kuendelea kukalia kiti cha uwaziri? Kwa dhati kabisa bila unafiki wowote, mimi namuunga mkono Rais Pombe katika utumbuaji huu. Ifike wakati kila mtu aheshimu rasilimali za taifa kwa manufaa ya watanzania wa sasa na vizazi vijavyo.

Mungu mbariki Rais wetu, Mungu wabariki watanzania, Mungu bariki rasilimali zetu za Taifa. Amen.

[HASHTAG]#bringbackourrhinoalive[/HASHTAG]
Sasa muda wote huo wanasubiri nini kama wanajua Maghembe kawalisha matango pori? Majigambo mengi tu hakuna lolote watakalomfanya. Au wanajadiliana naye exit strategy?
 
Mkuu sio kweli kwamba waziri mkuu hawezi kusema uongo.
Kuna mmoja aliwahi kudanganya, aliyemtuhumu kusema uongo akaambiwa alete ushahidi. Ushahidi ulipoletwa ukapotezewa.....kwa maana hiyo PMs hawapo immune na uongo.
 
Mwaka 2008 Profesa akiwa kama waziri wa elimu aliwatimua na kuwarudisha nyumbani wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar UDSM kampasi ya Mlimani nadhani waliokuwepo wanaelewa hili na mambo mengine yaliowakumba vinara na wakereketwa wa mgomo ule . Wengine hawakurudi ILA wengine walirudi kwa masharti magumu sana.

Tupe sababu?
Ulifanya kosa gani Mkuu??
 
Mwaka 2008 Profesa akiwa kama waziri wa elimu aliwatimua na kuwarudisha nyumbani wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar UDSM kampasi ya Mlimani nadhani waliokuwepo wanaelewa hili na mambo mengine yaliowakumba vinara na wakereketwa wa mgomo ule . Wengine hawakurudi ILA wengine walirudi kwa masharti magumu sana.
Tatizo la mfumo, Waziri ni zaidi ya Mungu! Haya lazima yabadilike. Ona Ndalichako anavyovuruga elimu kutokana anachokiota/kiamu may be kwa kushauriana na mume wake, marafiki zake, watoto wake, wakwe zake etc !
 
Back
Top Bottom