Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

Faru anawahenyesha watu wazima. Tunaacha kufanya ya msingi wanahangaika na faru aliepigwa dili.

Faru John ni wa mhimu kuliko watu kumi hapa tz...Faru John alikuwa anaingiza lot of billion per year...wakat watanzania weng ni wakwepa Kodi wakubwa na wavivu wa kutupwa....Faru John anatakiwa asakwe accordingly...wanyama wa porini huwa hawazikwi but wanadai walimzika Faru John sasa kaburi liko wap...? Mambo yamekuwa magumu wamegeuza kibao kuwa hajazikwa.....!!! Hey prime https://jamii.app/JFUserGuide them ........Mambo mengine hayataki ujuaji, kusubiria embe chini ya mnazi, kumwelewesha............utajipa kazi
 
Ina maana hii ni kashfa kubwa kuzidi ya Lugumi? hamna kitu hapo
 
Ndio maana mnyama yeyote akipata matatizo lazima Magembe kama waziri apewe taarifa na yeye ndio wa mwisho kuizinisha na kutoa tamko hiyo ndio kazi yake.
Huna Elimu ya juu

Go back to school Dude.


swissme

Waziri ni msimamizi wa sera, hizo taarifa ni za kufanyia kazi wataalam na watendaji wengine.
 
Ngoja tuangalia nani jambazi kuu na staring ni nani
Naona season 1 iliisha
Sasa hii season 2.
 
kama huyu faru john alipigwa deal basi wapigaji wamepiga deal kwa kutumia akili nyingi sana..
siku ya kwanza PM anauliza kwa nini alitolewa serengeti?
anajibiwa majibu ya kitaaluma mpaka anaishiwa nguvu.
1.faru john aliondolewa setengeti kwa sababu tulitaka ku control in breeding
2.aliondolewa kwa sababu ya ukorofi wake kitu ambacho kilihatarisha uhai wa faru wengne kwamba alikuwa anawafukuza mpaka wanaenda nje ya conservation area kitu ambacho ni rahisi kuuliwa na majangili..
2.huko gurunet alikufa natural dealth sababu ya umri na upweke kwani aliwekwa ndani ya cadge.
jibu hilo linaua doubt kuwa faru aliuawa kwa kukusudia ila pembe zipo
4.naomba mfukue kabri ili apimwe vinasaba
anajibiwa.mzee faru john hakufa kwa ugonjwa wa maambukizi ila uzee hivo hakuzikwa ili ku suport food chain na ecology kwa wanyama walao mizoga.
hivi kwa sababu hizi nani atashikwa uchawi juu ya faru john.
halafu wahifadhi wanajibu kitaaluma na kwa confidence zote
PM.Kapigwa na butwaa je ?taarifa ya ki intelijensia imenipotosha au wapiga dili wanatumia akili nyingi..
 
Wamemkawiza - fika ushirombo eneo la Butambala uone magogo yanavyosafirishwa bila yeyote kuchukuwa hatua.
 
unajuaa. ma
Kumtumbua Maghembe ni uonevu mkubwa. Kama jambo hili la faru john limefanyika ndani ya awamu hii basi waziri mkuu Majaliwa Kasimu Majaliwa ajiuzuru.

Yeye ndiye mtendaji mkuu wa serikali, iweje waziri aliye chini yake auze nyara za umma halafu waziri mkuu ajipe kazi ya kukata mkono wake (waziri)
maa yautendajii


Ajiuzuluu pm wazirimagembe anafanya nini
 
Mtu kuingia chooni ni jambo la kawaida
Lakini kukosa maji ya kuoshea makalio chooni si jambo la kawaida
Ila kutembea na karatasi ya kufutia makalio nalo si jambo la kawaida
 
Wakati Faru John anafikwa na Masahibu December 2015 Tanzania hatukuwa na Baraza la Mawaziri tulikuwa na Rais, Makamu na PM peke yake na hata lilipotangazwa Mara ya Kwanza Wizara ya Maliasili haikupata Waziri, Magembe kachaguliwa Mwishowe kabisa hivyo jitihada za kumsukumia hili Fafa Prof Maghembe ni kumuonea!
 
Uchaguzi ulishaisha mwaka jana ; sasa ni wakati wa kazi tu. Ni vizuri sasa siasa zikawekwa pembeni. Rais akateua watu bila kuangalia itikadi za kisiasa.
Mambo mengi makubwa ya msingi ameyafanya rais kwa manufaa ya umma na akapigiwa kelele kuwa amevunja katiba ,kwa hiyo ni vyema pia akawateua wale walioko nje ya CCM ili kujenga taifa lenye umoja na mshikamano.
Tuliambiwa tangu wakati wa kampeni kuwa maendeleo hayana chama.
Wizara ya maliasili imekua ikiyumba sana kwa muda mrefu.
Sasa inabidi iwe na manaibu waziri wawili mmoja awe anasimamia upande wa misitu na mwingine wanyama. Mmoja kutoka CCM na mwingine upinzani ili tuone ufanisi.
 
Magufuli tatizo la ajir katika white collar jobs amelimaliza kabisa. Sasa akimfukuza huyu Prof. atamleta mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom