Achana na huyu Catholic's goat!N
Nyoko. Islael hii ya Sasa ni ya matapeli na mauaji. Mungu alimaanisha islael ya enzi zile siyo hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyu Catholic's goat!N
Nyoko. Islael hii ya Sasa ni ya matapeli na mauaji. Mungu alimaanisha islael ya enzi zile siyo hii
HahaBarikiwa Israel.Poleni Sana Raia wema magaidi Hamasi yatolewe pangoni.Natamani Nami Nije Huko kuyatoa pangoni
Mamlaka za kipalestina zilizopo inchi hazipo kwenye good terms na Hamas.Waliowateka Watanzania ni Hamas. Kwa nini asingeongea na Balozi wa Palestina ili wawaachie ndugu zetu?
Nionavyo, ni rahisi zaidi kwa Watanzania wanaoshikiliwa mateka kutoka salama endapo Hamas wataridhia kuwaachia kuliko Israeli kutumia nguvu kiwaokoa.
Waziri afanye mazungumzo na mamlaka za Palestina kuhusiana na Watanzania waliotekwa na Hamas.