Waziri Makamba afanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Eli Cohen

Mamlaka za kipalestina zilizopo inchi hazipo kwenye good terms na Hamas.
Hamas alijichanganya sana kuvamia na kuuwa raia. Hii imepelekea Israeli kumdindia yoyote anayetaka asitishe mashambulizi kwa Hamas
Raia nao wamewekwa mtu kati. Israeli anasema waondoke while Hamas anawazuia. Hamas anatambua kuwa bila raia kuwepo naye hatokuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…