Waziri Makamba akutana kwa mazungumzo na Waziri wa Viwanda na Teknolojia ya Juu wa Serikali ya UAE

[emoji16][emoji120]
Haya hapa
[emoji116]

Mabadiliko Mawaziri tuliingizwa Kingi
 
Takataka tu

Mabadiliko Mawaziri tuliingizwa Kingi
 
Wewe umemezwa kwenye kanzu.
Makamba hapaswi kuingilia majukumu ya wizara ambayo sio yake!
That's the Point hayo ya uarabu na kanzu zako wewe endelea nazo.
Naona unajua majukumu yake kuliko yeye,kwamba kaamua tu kuonana na Waziri wa nchi nyingine bila kutumwa,kazi za Waziri wa mambo ya nje ni zipi!?
 
Mkisha maliza kuuza hii nchi mtugawie hata mil' moja moja na sisi wananchi sio mnajilimbikizia wenyewe tu
 
Kama kuna mtu mwingine amezichukuwa kwa utapeli na kuzitumia kwa manufaa yake ni nini hicho
Uporaji ! Lakini kama amezichukua na baadaye zikaleta faida kubwa kuliko miaka yote iliyopita ??!!
 
hio picha imenitafakarisha sana...hao waarabu wanatuona ngombe kama ngombe nyingine machungani....yaani hatuna utamaduni kiasi kwamba tunaweka vazi rasmi kuwa suti na tai kama mwingereza au mzungu....hivi tungeamua kuenzi lubega zetu si zingekuwa official kama kanzu...(inje ya mada nawaza kwa sauti)
 
Uporaji ! Lakini kama amezichukua na baadaye zikaleta faida kubwa kuliko miaka yote iliyopita ??!!
Kwanza haziwezi kuleta faida kubwa kwa sababu mwenyewe hakushirikishwa! Kwa hiyo huyo ni mwizi au tapeli!
 
Hakuna kitu hapo.
 
Warabu wa dubai wamemlisha nini huyu mama mbona kama anakuwa dhaifu sana kwa hawa jamaa! Yaani hachomoi kwa chochote aisee..
 
Pesa mingi kwa faida ya nani? Kwa kuwa bandari ni mali ya DPW!
Hakuna kitu kama hicho !! Bandari ni mali za Nchi wale Dipiwedi ni wawekezaji tu kama wengine waliokuwepo kabla yao !
TICTS and the likes πŸ˜…πŸ™

Maubaguzi hayafai bandugu πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…