Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Mbona mnahangaika sana kumsafisha mtu ambaye alikwishatumbukia kwenye dimbwi la OIL CHAFU?

Kwa hiyo Makamba ndio amerudisha lile kundi lake la kampeni mtandaoni lililokuwa likipiga kura hewa kuchuana na team Membe na team Ngeleja?
 
Alichokisema James ndio alichokisema Makamba baada ya kutoka Uarabuni. Waandishi wa habari wamemnukuu vibaya James.
 
Mbona mnahangaika sana kumsafisha mtu ambaye alikwishatumbukia kwenye dimbwi la OIL CHAFU?

Kwa hiyo Makamba ndio amerudisha lile kundi lake la kampeni mtandaoni lililokuwa likipiga kura hewa kuchuana na team Membe na team Ngeleja?
Makamba ni janga la kitaifa
 
Unaacha kumuamini msimamizi wa maghala ya mafuta unamuamini mpewa ripoti..kweli uchawa ukizidi unakuwa funza.
Hadi awamu iliyopita tulimwamini Rais kwaio hata makamba tunamwamini ndio Mtendaji wa mwisho kwenye wizara hio
 
Alichokisema James ndio alichokisema Makamba baada ya kutoka Uarabuni. Waandishi wa habari wamemnukuu vibaya James.
Waandishi wanamgombanisha waziri na Mtendaji mkuu
Halafu walilkosa tenda tanesco anachukua jama advantage ya kunchafua Waziri wakati mambo yanaeleweka
 
Makamba endelea kuchapa kazi baba
Maendeleo kwa vitendo weka mipango kazi iendelee
 
Makamba fanya kazi, wanaokupinga na kukuponda watakuelewa tuu mbele ya safari.
 
Tumpe nafasi huyu makamba afanye kazi tumuamini ili tuone uwezo wake tusiwe na haraka kumponda bila uhalali.
 
Tumpe nafasi huyu makamba afanye kazi tumuamini ili tuone uwezo wake tusiwe na haraka kumponda bila uhalali.
Tumpe nafasi achape kazi atatuletea makubwa
Rais Samia ni mtu makini na anajua uwezo wa Makamba
 
Kazi imeanza mmeshaanza kuhujuma hadi mafuta jamani nchi kama viel amna kiongozi madili kila mahala yameshaamza kutengenezwa
 
Aisee! Ndani ya siku 15,!

Hivi ikitokea vita hizo Meli zikawa blocked watz watapona kweli?
Tatizo wala sio vita,

Kama ukiangalia hizo screenshot, utaona kuna maneno "Vessel is Out of Range"! Sometimes, meli zinazopita Ghuba ya Eden na hata Indian Ocean from the Horn of Africa, huwa wana-switch off Automatic Identification System!!

Hiyo AIS huwa inatambulisha identity na location za meli zinapokuwa baharini! Sasa kwavile Ghuba ya Eden na Indian Ocean ni high risk area kutokana na uwezekano wa kuwepo pirates, ndipo wanazima hizo AIS ili wasiwe tracked.

So, risk sio vita bali piracy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…